AiseeHabarini za Hapa
Kwa upande wangu nakumbuka Mbali Sana Enzi hizo kuna Jidada kaniandikia barua wakati ananipa alisema usimwambie Mama ako lakini! Nikapokea kabla sijafungua ilikuwa imeandikwa kiss before open Niliyo yakuta humo ni Makopa Kopa na Dedication kama Vailet by Matonya, Milele by Ray C,Cinderella by Ali kiba na vimichoro kibaoo
Enzi hizo mambo ya Simu Yalikuwa Bado sana, Unakuta Barua inaanza na Apple la barua hii,Lengo la barua hii,Dhumuni la Barua hii na mengine mengi
Wewe Unakumbuka Wapii Ukiona Hii barua
View attachment 1265846
Na tulioachwa kwa barua kama hizo tucoment wapi ? Mm niliitafuna na kuimeza kabisa ww uliifanya nn ?Habarini za Hapa
Kwa upande wangu nakumbuka Mbali Sana Enzi hizo kuna Jidada kaniandikia barua wakati ananipa alisema usimwambie Mama ako lakini! Nikapokea kabla sijafungua ilikuwa imeandikwa kiss before open Niliyo yakuta humo ni Makopa Kopa na Dedication kama Vailet by Matonya, Milele by Ray C,Cinderella by Ali kiba na vimichoro kibaoo
Enzi hizo mambo ya Simu Yalikuwa Bado sana, Unakuta Barua inaanza na Apple la barua hii,Lengo la barua hii,Dhumuni la Barua hii na mengine mengi
Wewe Unakumbuka Wapii Ukiona Hii barua
View attachment 1265846
Mbona km umenikumbusha mimi kbs huyo M da!Dah mapenzi ya zamani jaman tulikuwa tunatongozwa vizuri adi raha....nakumbuka tuko shule ule muda wa Prep's ukikaribia kuisha usiku unaandaa unampa shem anapeleka fasta class kwao naye anarudi na ya kwako kutoka kwake yaan wee M.....nakukumbuka na mwandiko wako mahondaw manengelo Khantwe sjui mnakumbuka izi barua
Asee haya mambo sitosahau coz mzee wake na dem mmoja hv alikamata barua yangu nmemwadikia mtt wake akaje nae maskan kilichotokea sitasahau afu aliyenichoma ni mdgo wake na demHabarini za Hapa
Kwa upande wangu nakumbuka Mbali Sana Enzi hizo kuna Jidada kaniandikia barua wakati ananipa alisema usimwambie Mama ako lakini! Nikapokea kabla sijafungua ilikuwa imeandikwa kiss before open Niliyo yakuta humo ni Makopa Kopa na Dedication kama Vailet by Matonya, Milele by Ray C,Cinderella by Ali kiba na vimichoro kibaoo
Enzi hizo mambo ya Simu Yalikuwa Bado sana, Unakuta Barua inaanza na Apple la barua hii,Lengo la barua hii,Dhumuni la Barua hii na mengine mengi
Wewe Unakumbuka Wapii Ukiona Hii barua
View attachment 1265846
Aisee nimemkumbuka demu wangu Mwainne alivyokuwa ananivunja goti shule ya msingi!! Pesa yenyewe niliyokuwa namhonga ni ile niliyokuwa naipata baada ya kuuza mapera shuleniHabarini za Hapa
Kwa upande wangu nakumbuka Mbali Sana Enzi hizo kuna Jidada kaniandikia barua wakati ananipa alisema usimwambie Mama ako lakini! Nikapokea kabla sijafungua ilikuwa imeandikwa kiss before open Niliyo yakuta humo ni Makopa Kopa na Dedication kama Vailet by Matonya, Milele by Ray C,Cinderella by Ali kiba na vimichoro kibaoo
Enzi hizo mambo ya Simu Yalikuwa Bado sana, Unakuta Barua inaanza na Apple la barua hii,Lengo la barua hii,Dhumuni la Barua hii na mengine mengi
Wewe Unakumbuka Wapii Ukiona Hii barua
View attachment 1265846
Niliichambia kama Toilet Paper za wazungu. Kisha nikaikunja vizuri nikaiweka bahashani nkamrejeshea.Na tulioachwa kwa barua kama hizo tucoment wapi ? Mm niliitafuna na kuimeza kabisa ww uliifanya nn ?
🤣 🤣 🤣 kwaivo bado unanipenda babe?Mbona km umenikumbusha mimi kbs huyo M da!