Hakukuwa na hizo power lines.Kilitokea nini huko?fafanua siyo kila mmoja ana kumbuka kila kitu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini shida mzee,funza wanazingua au?Hakuna mkoa nauchukia dunia hii kama Kigoma
Usiniulize kwa nn,mm ni mchaga wa huku miliman kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Dish juu ya Nyumba Kigoma hii hiiMwaka 1912 kulikuwa hamna camera yenye quality nzuri namna hii 🤔
Jifunze kudanganya kidogo basi. Naona kuna hadi dishi juu ya paa hapo
Sasa kama hazikuwepo hizo power lines mbona kwenye picha zipo na content ya uzi imekaziwa ni mwaka 1992?wasiwasi wangu hata wewe hujamuelewa mleta mada.Hakukuwa na hizo power lines.
Vipi ndugu yangu mbona unateseka Kigoma inakunyima raha..?Hakuna mkoa nauchukia dunia hii kama Kigoma
Usiniulize kwa nn,mm ni mchaga wa huku miliman kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka sio 1992 bali 1912 soma vizuri mkuu. Miaka hiyo hata picha zenye rangi hazikuwepo naamini.Sasa kama hazikuwepo hizo power lines mbona kwenye picha zipo na content ya uzi imekaziwa ni mwaka 1992?wasiwasi wangu hata wewe hujamuelewa mleta mada.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk