Kumbuken haya wapendwa dada zangu.........

Kumbuken haya wapendwa dada zangu.........

[TABLE="class: outer_border, width: 700, align: center"]
[TR]
[TD]kwa dunia hii ya utandawazi.. haya mambo ni magumu sana kufanyika/kutekelezeka!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: outer_border, width: 700, align: center"]
[TR]
[TD]kwa dunia hii ya utandawazi.. haya mambo ni magumu sana kufanyika/kutekelezeka!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kwel kaka ila naamin bado wapo wachache.........
 
Kwel kaka ila naamin bado wapo wachache.........


[TABLE="class: outer_border, width: 500, align: left"]
[TR]
[TD]hao wachache waliopo, wanafundishwa mambo ya kijinga na majority walio haribika!..
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: outer_border, width: 500, align: left"]
[TR]
[TD]hao wachache waliopo, wanafundishwa mambo ya kijinga na majority walio haribika!..
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ni full kisanga siyo???
 
Haya tayta
Women-Can-Fake-An-Orgasm-Men-Can-Fake-A-Whole-Relationship_o_110052.jpg
 
Last edited by a moderator:
Real!kuna mtu aliwahi leta uzi humu kuwa u feki uko zaidi kwenu, nywele feki,kucha feki,ngozi feki,nyusi feki
sometimes hata papuchi feki!
 
Real!kuna mtu aliwahi leta uzi humu kuwa u feki uko zaidi kwenu, nywele feki,kucha feki,ngozi feki,nyusi feki
sometimes hata papuchi feki!

Kwel kamanda yan asilimia kubwa ya wadada wa sasa iv wanaigiza....
 
Dunia ya leo imekuwa na majaribu sana, kikubwa zaidi cha kushauriana ni kurudi kwny mafundisho ya imani zetu, tumeelekezwa kila kitu katika maandiko matakatifu na vivyo hivyo ndivyo tutakavyoweza kuendesha maisha yetu kufikia kwny uhalisia au u-fake ili tuweze kutimiza malengo ya kuumbwa kwetu! Hata vigezo vya mwanamke au mwanaume wa kuoa au kuolewa vipo dhahiri kabisa katika maandiko, kwa hiyo ni juu yetu kurudi kwny miongozo ya maisha yetu na kupata mrejesho ulio bora zaidi!
 
Dunia ya leo imekuwa na majaribu sana, kikubwa zaidi cha kushauriana ni kurudi kwny mafundisho ya imani zetu, tumeelekezwa kila kitu katika maandiko matakatifu na vivyo hivyo ndivyo tutakavyoweza kuendesha maisha yetu kufikia kwny uhalisia au u-fake ili tuweze kutimiza malengo ya kuumbwa kwetu! Hata vigezo vya mwanamke au mwanaume wa kuoa au kuolewa vipo dhahiri kabisa katika maandiko, kwa hiyo ni juu yetu kurudi kwny miongozo ya maisha yetu na kupata mrejesho ulio bora zaidi!

Kwel kbsaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom