Kwa sasa nimekuelewa vizuri.Unapotuhumu kampuni and then kampuni inakuziba mdomo kwa kukujengea shule what do you expect.
Kwenye zilizoendelea hiyo ni scandal kubwa Zitto angejiuzulu haraka.
Tutegemee mengi kutoka Barrick hawawezi kukubali aibu hii iwe yao watasema mengi.
Mkuu MANDELAA KIWELUMsemajiUkweli Unatakiwa Utambue kuwa kwa sera za nchi hii, adui wa taifa ni adui wa kila mtanzanania na vivyo hivyo kwa kinyume chake.
Zitto kabwe alipambana kadiri ya alivyoweza, lakini alishindwa kuwafanya lolote kwani walikuwa wanakingiwa kifua na serikali, na hapa ndipo usemi usemao "IF YOU CAN'T BEAT THEM, JOIN THEM" (Kama huwezi pambana nao, basi ungana nao). ZZK hakupenda kufanya hayo unayotaka kutuaminisha, bali mfumo mzima ulikuwa haupo upande wake na ulimlazimisha kufanya na kutenda kinyume na maono na misimamo yake.
Nimeisoma thread yako na kama kawaida inafikirisha na kutoa somo pana kwa watu wenye fikra pana.Hayo ndio mambo na kazi ya INED (Independent Non-Executive Director)niliyoyaeleza jana kwenye uzi huu Sakata la Makinikia: Balozi Juma Mwapachu anajiondoaje ktk "lawama za kuingamiza" Tz kwa wawekezaji?
INED anarafuta "fox MPs" anapeleka orodha kwenye kampuni ya kibeberu,wanatengewa miradi ya maendeleo kwenye majimbo yao,then wanatulizwa kama maji ya mtungi....Makinikia hayajawahi kumuacha mtu salama
Mkuu wa kambi ndie nani?Bora zito kuliko mkuu wa kambi
Mkuu kwa nini unasema Barrick halitaacha mtu salama?Mzee Warioba jana alishauri tuache ya nyuma tuangalie mikataba mipya.
Ukiangalia kauli hii ni muhimu kwani hili Barrick halitaacha mtu salama
Mkuu usiwashangae watu wa aina hii.Soma makala ndugu, acha kuwa kama nyumbu.