Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,450
Hakuna mtu wa kukaa kimya,as long as this is our country,we will keep shouting to make things right!Nchi ngumu hii....Mtu anamtukana Rais kisa kuhongwa tu....Si mkaage kimya?
Kama Magu anategemea akiwa madarakani itafika muda kila mtu atampigia makofi kwa kila afanyalo,he is too much mistaken!That will never happen,not here!Unaharibu,tunakuchana!