Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,819
- 86,536
Labda kama kaleft majuzi! Nikavulana hako!Weka picha , mbona hauko romantic kama Seran na muandiko wako wa kihuni kama Maghayo au secretarybird halafu uwe pisi kweli au unatupiga kamba Mzee ?
Labda kama kaleft majuzi! Nikavulana hako!Weka picha , mbona hauko romantic kama Seran na muandiko wako wa kihuni kama Maghayo au secretarybird halafu uwe pisi kweli au unatupiga kamba Mzee ?
Bi mkubwa nini tenaEti majirani wakusaidie, ila we dogo bana!
Unazingua ujuee?🫴🏾Bi mkubwa nini tena
😂 Naona unatongoza kimtindo.Weka picha , mbona hauko romantic kama Seran na muandiko wako wa kihuni kama Maghayo au secretarybird halafu uwe pisi kweli au unatupiga kamba Mzee ?
yan mm nimwanaume ila na nina jihisi kupenda vitu vya kike ndoh maana napenda kujiita bintiWeka picha , mbona hauko romantic kama Seran na muandiko wako wa kihuni kama Maghayo au secretarybird halafu uwe pisi kweli au unatupiga kamba Mzee ?
kwenye miti hapana wajenzi, badala ukamate ujipigie unakuja anzisha uzi hukumida hii nimetoka nje kwenda washroom.Ila cha ajabu nmemuona mwanamke akiwa uchi wa mnyama ameshikilia vifurush sijui anafanya nn. ile mbio nmerud ndan maana hayo mazingira magumu kinoma.nikawaita majiran wanisaidie il tuweze kumkamata. ila cha ajabu tumerud tukampata hayupo.ila nmeshuku kama sio mchaw n mwangaji.
ila kinachonshangaza kwan nn wanajidhalisha hivyo na kujisumbua hivyo.maana hii nchi kuna watu wanawaza tu mabaya kwa wengine.
ila hawaniwez wala sitikisiki mm silogek hata kidogo.
Una shida kubwa!yan mm nimwanaume ila na nina jihisi kupenda vitu vya kike ndoh maana napenda kujiita binti
Mshangazi kaja kukutunuku wewe unaita majirani. Kaona bora aingie chumbani kwake tuu. Siyo mchawi,mida hii nimetoka nje kwenda washroom.Ila cha ajabu nmemuona mwanamke akiwa uchi wa mnyama ameshikilia vifurush sijui anafanya nn. ile mbio nmerud ndan maana hayo mazingira magumu kinoma.nikawaita majiran wanisaidie il tuweze kumkamata. ila cha ajabu tumerud tukampata hayupo.ila nmeshuku kama sio mchaw n mwangaji.
ila kinachonshangaza kwan nn wanajidhalisha hivyo na kujisumbua hivyo.maana hii nchi kuna watu wanawaza tu mabaya kwa wengine.
ila hawaniwez wala sitikisiki mm silogek hata kidogo.
Wewe bhaaass!! tayari kipa katoka au loose Nutyan mm nimwanaume ila na nina jihisi kupenda vitu vya kike ndoh maana napenda kujiita binti
Siwezi Mzee , huyu ni Dada yake Mnywa Visungura , Mimi sitaki ugomvi na mnywa visungura bila sababu za msingi .😂 Naona unatongoza kimtindo.
mida hii nimetoka nje kwenda washroom.Ila cha ajabu nmemuona mwanamke akiwa uchi wa mnyama ameshikilia vifurush sijui anafanya nn. ile mbio nmerud ndan maana hayo mazingira magumu kinoma.nikawaita majiran wanisaidie il tuweze kumkamata. ila cha ajabu tumerud tukampata hayupo.ila nmeshuku kama sio mchaw n mwangaji.
ila kinachonshangaza kwan nn wanajidhalisha hivyo na kujisumbua hivyo.maana hii nchi kuna watu wanawaza tu mabaya kwa wengine.
ila hawaniwez wala sitikisiki mm silogek hata kidogo.
Kwanza naona dada mwenyewe anagida visungura ile mbaya! Maana si kwa majibu yake.Siwezi Mzee , huyu ni Dada yake Mnywa Visungura , Mimi sitaki ugomvi na mnywa visungura bila sababu za msingi .
Una muoaTokea ujiunge Jf mada zako ni za hovyo sana , tunakuoa muda ujitathimini kijana
Duh ! ngoja aje akujibu au akuitie Kaka yake mnywaVisungura.Kwanza naona dada mwenyewe anagida visungura ile mbaya! Maana si kwa majibu yake.
TakbiiirDuh ! ngoja aje akujibu au akuitie Kaka yake mnywaVisungura.
Kwenye kutongoza Mimi sina swaga naogopa ndio maana nimekuwa mpole humu , napenda kuwahakikishia usalama wadada wa Jf kuwa sina tabia hizo wala uwezo itokee tu Mwanamke mwenyewe anionee huruma
Humu hukuna mwanamke atakeyekuonea huruma bwashee, labda shibela.Duh ! ngoja aje akujibu au akuitie Kaka yake mnywaVisungura.
Kwenye kutongoza Mimi sina swaga naogopa ndio maana nimekuwa mpole humu , napenda kuwahakikishia usalama wadada wa Jf kuwa sina tabia hizo wala uwezo itokee tu Mwanamke mwenyewe anionee huruma
Nataka GenZ wenzangu sio mashangaziHumu hukuna mwanamke atakeyekuonea huruma bwashee, labda shibela.
Ok, majoto is there for you 😎.Nataka GenZ wenzangu sio mashangazi
Kama kwenda washroom tu ni lazima utoke nje,basi tafuta sana hela,mida hii nimetoka nje kwenda washroom.