Kumbe u first son dili eeh??

TANMO

Platinum Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
12,152
Reaction score
12,894




Ngoja nifanye mchakato ili wanangu waje kufaudu maisha, lol
 
Wenzetu wanakula nyanya na kabechi,simu ya nokia rahisi kabisa ila akaunti inasoma mamilioni/mabilioni!!!sisi mtoto wa kidato cha pili ana simu ya blackberry na hana hata shilingi mfukoni na akaunti hana.wabongo tunapenda kujishebedua
 
Wenzetu wanakula nyanya na kabechi,simu ya nokia rahisi kabisa ila akaunti inasoma mamilioni/mabilioni!!!sisi mtoto wa kidato cha pili ana simu ya blackberry na hana hata shilingi mfukoni na akaunti hana.wabongo tunapenda kujishebedua

Kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…