Ni dhahiri shahiri bila chenga bila ya kutikisa masikio wala kupepesa macho, Tanzania ilikosa kabisa uongozi. Maana kila mahali uozo. Makampuni ya umma kama TRL mabehewa ya kubebea mafuta kabla ya kutumika yanavuja, yaani we acha tu... Utadhani nchi ndo kwanza inaanza kila kitu kipya. Aibu kwa wote waliokuwepo kabla ya awamu ya 5
JPM nenda kwenye swala la uingizaji wa mafuta diesel, petroli uone uozo
Mungu mbariki JPM
JPM nenda kwenye swala la uingizaji wa mafuta diesel, petroli uone uozo
Mungu mbariki JPM