chifusongea
Senior Member
- Jan 8, 2016
- 164
- 154
Hiki kituo kilshabadilishwa, au ni kipya? Sisi wengine tunaingia mujini kwa kuvizia tu.Leo nikiwa kariakoo nangoja daladala nikamwona binti mmoja shombe kwenye daladala iliyoandikwa ubungo au simu 1000.Basi ili nipate angalia namba nikapanda.kufika jangwani kinda anauliza jamani abiria anayeshuka hospitali asogee.ndiyo kumuuliza jirani yangu kwani hili daladala linaenda wapi?Akanijibu tandale.nataka kumwomba namba mrembo,dah kumbe yuko na mama yake na Dada yake kwenye daladala.Akanijibu hapa jau best mama na Dada watazingua.nilikuwa sijui hata tandale kuna watoto wa kike wakali wa kuoa kabisaa.mmmh.
Pole sana mkuu maeneo yote yana watoto wakali inayegemea unataka watoto wa waaina ganikwa maana hiyo ulikuwa unadhani wanaoishi tandale wote ni wabaya...
Pole sana mkuu maeneo yote yana watoto wakali inayegemea unataka watoto wa waaina gani
Ulitaka akuweke weweChefuuuuu
Ila watandale wamekaa kunoganoga halafu very simple, utakuta kasuka twende kilioni halafu kavaa dira jepesi na lile jasho la dar ndani ana kyupi tu.. Unaweza kuangukia mtaroni lazma uwe na moyo mkuuNi kama huyu
Kusema ukweli SijaelewaLeo nikiwa kariakoo nangoja daladala nikamwona binti mmoja shombe kwenye daladala iliyoandikwa ubungo au simu 1000.Basi ili nipate angalia namba nikapanda.kufika jangwani kinda anauliza jamani abiria anayeshuka hospitali asogee.ndiyo kumuuliza jirani yangu kwani hili daladala linaenda wapi?Akanijibu tandale.nataka kumwomba namba mrembo,dah kumbe yuko na mama yake na Dada yake kwenye daladala.Akanijibu hapa jau best mama na Dada watazingua.nilikuwa sijui hata tandale kuna watoto wa kike wakali wa kuoa kabisaa.mmmh.
Tandale kwa kina Dimoondi..Leo nikiwa kariakoo nangoja daladala nikamwona binti mmoja shombe kwenye daladala iliyoandikwa ubungo au simu 1000.Basi ili nipate angalia namba nikapanda.kufika jangwani kinda anauliza jamani abiria anayeshuka hospitali asogee.ndiyo kumuuliza jirani yangu kwani hili daladala linaenda wapi?Akanijibu tandale.nataka kumwomba namba mrembo,dah kumbe yuko na mama yake na Dada yake kwenye daladala.Akanijibu hapa jau best mama na Dada watazingua.nilikuwa sijui hata tandale kuna watoto wa kike wakali wa kuoa kabisaa.mmmh.
Kusema ukweli Sijaelewa
Hahahhaa ila aangalie tu... Maaaana....!!!Eeeh ni kweli kachanganya mambo atakuwa bado kabutwaaa...kesho lazima ataamkia Tandale.
Akaribie vizuri tutamkaribisha na miziki ya SIMBA aka Chibu.