Tambwe sio lulu kama unavyodhania. Ni msomi wa form 4 alimaliza kinondoni secondari 1980. Alifanikiwa kupata zero. Ni msanii wa mjini waliojiingiza kwenye siasa . Hata kauli zake anazotoa hazina nguvu. Kwa sababu nchi inaongozwa kisanii ndio maana wasanii kama yeye wanapata nafasi ndani ya chama kikubwa kama hicho