Kumbe Tabata Kuna Beach Nzuri Hivi?

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,733
Eeh, sijakosea. Tabata kuna beach nzuri such that haina haja ya kwenda Coco tena. Baada ya hizi mvua za mafuriko kwisha, 'Mto Tabata' umetengeneza 'fukwe' nzuri zenye mchanga kama beach za bahari. Leo nilikwenda pande hizo kupunga upepo. Nikalala kwenye kamchanga hadi raha! Yani ukimpigia binti mistari maeneo haya, hachomoi!
Karibuni Tabata, kwetu pazuri Tabata!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…