Mkuu, kwa ufupi kabila ni utaratibu wa maisha ya kikundi fulani cha watu walioamua kufanana kwa mambo kadhaa kama,mila,lugha,miiko,silka n.k. Kama ukijikubalisha kuishi ndani ya hayo wewe ndo twasema una kabila.
Ukiyakataa kama mimi hapa uko Free hakuna utakachopungukiwa mkuu.