Kumbe roho inauma.....

Mwanamakundi, hebu jiulize, hicho cha kudai kakitoa wapi wkt ameeleza alikuwa chuo na kazi hana!! And you are right, it is his business

Haaa haaa kumbe kuna watu vichwa vyao vigumu kuelewa....nway hope hujaelewa mwanafyale try again later
 
Last edited by a moderator:
mwanaume mwenzio alimnunulia wewe ukapewa utumie kwa muda...mwenye chake kaja anadai
 
mwanaume mwenzio alimnunulia wewe ukapewa utumie kwa muda...mwenye chake kaja anadai Lovebird sikupewa nitumie hizo simu iphone ilikuwa na lock na Android network na zote nilisolve problems kumbe hujaelewa ila umekurupuka.....
 
Last edited by a moderator:
Sasa wakati ulikua huna kitu utamdai nini? Au mapenzi mlokua mnafanya wote? Au ebu viandike alivyokupa wewe na ulivyo mpa wewe, mwanamme kweli haongelei kudai vyake, au bado unataka arudi akurudishie cm zake?
Jifunze kukinao mtoto wa kiume umejitia bei isokua yako kakuchoka na nipenipe zako sema na roho yako,staki mwenzie basi.....
 
Nasema tena
 

Attachments

  • 1395683761319.jpg
    4.7 KB · Views: 187
Mwanamakundi, hebu jiulize, hicho cha kudai kakitoa wapi wkt ameeleza alikuwa chuo na kazi hana!! And you are right, it is his business

Haaa haaa kumbe kuna watu vichwa vyao vigumu kuelewa....nway hope hujaelewa mwanafyale try again later

Labda adai dushelele yake aliyompa
 
haaa haaaa mie naenda race mwenyewe... asa mbona anaumia na kuwa mkali kwa each step ambayo na move??? viol
we mwenyewe umemwambia unataka kuoa b'se unampenda sema alikuacha bhana kuwa wazi
 

Mkuu haya mm yalishanikuta kwa bahati mnzuri alipotaka vitu vyake ckung'ang'ania nikampa kila hamsini zake miezi michache baadae akaja akaniomba samahani lkn alisha chelewa nafasi ilishajaa. so we mpe kila kitu ipo cku......
 

Excellent! You said it very well "nature come calling" !
 
Udai vyako vipi tena?? na umesema ulikuwa hauna kitu. ulikuwa umeolewa wewe, sasa shukuru ndoa yako imeisha na wew utafute vyako umringishie. huo ndio uchungu wa kula hela ya wadada

Hahahahaaaaa atiiii "ameolewa" God forbid!
 
Dem ndio alokuwa muitaji kwa uyo jamaa kwa iyo kumshauli akabembeleze ni kazi bure ,uyo dem itakuwa kapata chalii mwengine ambaye anampenda zaidi,WAZO LANGU
 
Nimempa staff zake zote... je na mie nidai staff zangu?? for now nina mtu ambaye naenjoy PetCash

Alikuwa na kampuni kiasi kwamba staff wake alikuachia? mrudishie staff wake wakamfanyie kazi zake bana, tena na staff bus lake umrudishie pia.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…