Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,734
- 6,292
"Nilitembelea Hospitali ya Mwananyamala, kuna wodi daktari mfawidhi alikuwa ananiingiza akaniambia humu kuna wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Nikwambia kuwa muwazi, ni COVID[19] kasema, ndio, COVID. Nikawaambia wapigapicha wangu tokeni haraka."- Rais Samia Suluhu Hassan
My Take:
Kumbe yawezekana wataalamu wa afya walipewa maelekezo ya kutupiga "sound" toka mamlaka za juu.
Changamoto za upumuaji lilikuwa jina la kisiasa na mbadala wa neno UVIKO-19
My Take:
Kumbe yawezekana wataalamu wa afya walipewa maelekezo ya kutupiga "sound" toka mamlaka za juu.
Changamoto za upumuaji lilikuwa jina la kisiasa na mbadala wa neno UVIKO-19