technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
Nimepewa taarifa muhimu na mtu muhimu Sana ndani ya TISS
Kwamba no reform no Election ulikuwa ni mtego kwa Samia baada ya kushauriwa apumzike 2025 kugombea.
Sasa anasema kweli kanasa kwenye mtego huo na jamaa anasisitiza Hana chake baada ya mwezi huu kuisha.
Anasema Lissu na Mange Sasa Tesha wanafanya kuipush ila ni agenda ya Taifa.
Anasema hakuna Polisi,TISS au JWTZ atazuia maandamano kaenda mbali kanishangaza baada ya kusema hata Polisi wanajeshi na TISS wanaweza kuandamana siku hiyo wakiwa wamevaa kiraia.
Taifa linakombolewa amkeni msilale ndani amesisitiza mkishndwa itabidi wamnani anasisitiza.
Kwamba no reform no Election ulikuwa ni mtego kwa Samia baada ya kushauriwa apumzike 2025 kugombea.
Sasa anasema kweli kanasa kwenye mtego huo na jamaa anasisitiza Hana chake baada ya mwezi huu kuisha.
Anasema Lissu na Mange Sasa Tesha wanafanya kuipush ila ni agenda ya Taifa.
Anasema hakuna Polisi,TISS au JWTZ atazuia maandamano kaenda mbali kanishangaza baada ya kusema hata Polisi wanajeshi na TISS wanaweza kuandamana siku hiyo wakiwa wamevaa kiraia.
Taifa linakombolewa amkeni msilale ndani amesisitiza mkishndwa itabidi wamnani anasisitiza.