Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Nashawishika kusema CHADEMA si chama cha siasa bali ni kikundi cha watumia fursa , ni kikundi kilicho beba watu wenye kutafuta fursa , wasio na maono ya mbali , wenye dhiki kuu iliyo tukuka ,
CHADEMA imebeba watu wenye fikra ndogo walio wengi kuliko wenye mawazo mapana ambao ni wachache sana tena wapo kwa idadi kamili
CHDEMA haina watu ina viatu ambavyo huvaliwa ili kusaidia mtembeaji asiumie unyayo wake na miba
CHADEMA inatia huruma kuu, ikiwa mtu anadiriku kuchia dhamana aliyo pewa na wananchi tena kwa machozi na wakati mwingine damu , anaachia dhamana aliyo ipambania kwa damu na nyama
CHADEMA mnawadhulumu wananchi haki yao , tena haki waliyo ipigania kwa jasho, na imani waliyo iweka kwenu, leo mnawaacha wameduwaa , mmewatelekeza walipo waamini , mda wao umepotea bure, ni bora wasinge husika kuwachagueni ninyi hakika mnawadharau wananchi, manitia hasara serikali
CHADEMA iondoshwe ,iondoke ifutike kabisa isionekane tena ulingoni , hasara hii imetosha madiwani wanaondoka ' wabunge wanaondoka nini msimamo wenu?? Nani chanzo cha haya? Tatizo ninini?
CHADEMA , hamjajua kuchagua wagombea? Hamjajua kuwatambua mamluki,au ,mnaokoteza kila ajaye , hakika mnalitia hasara taifa CHADEMA muondoke.
CHADEMA , taifa halija tengamaa kiuchumi , taifa bado lina dhiki thiki inayo fanya mambo mengine yasiende hamna huruma CHADEMA pesa za kurudia uchaguzi huo unao tokana na watu wenu wa ajabu katika kata na majimbo haiwaumi CHADEMA ?
Kwani mkienda vijijini mkakuta mama kajifia na mwanae tumboni kwa kukosa huduma ya afya karibu ,mwana funzi ana kaa chini ya mti kwa kukosa darasa ,mwalimu anaishi nyumba za makuti tena kwa kulipa kodi shule hazina nyumba hayo hayawaumi CHADEMA? mnakubali kweli pesa iende tena kugharamia uchaguzi kwa sababu tu mnawaweka watu wasio jua wajibu wao na thamani ya nafasi walizo nazo??
Yes! Tuhisi wamehongwa , ama vinginevyo vyovyote je? Kwa nini wawe wao tuu? Inamana wana njaa sana wanakisa nini huko chamani, au tamaa ya pesa nyingi ninini tatizo??kwa nini wawe na tamaa? Jee ni hulka ya chama chenu? Mnalitia hasara taifa CHADEMA
CHADEMA hamuoni huruma kina mama vijijini huko wana kunywa ,aji ya madimbwi pamoja na ng'ombe na punda na fisi hawana namna wanakunywa tu na hasa kwa sababu wameyafuata umbali mrefu sana hawana namna , kweli mnaona bora kuingiza pesa kwenye uchaguzi mpya tena wa kijinga kwa sababu tu mnaweka watu wasio jua wajibu wao kwa wananch
CHADEMA kwanini mnatuwekea watu na wagombea wasio jua wanamtumikia nani?? Kwanini mnaweka watu wenyw elimu ndogo ya uraia inamana chadema imejaa wajinga ,? Yes imejaa wajinga maana hawajui wanamtumikia nani ama wananchi ama serikali hawajui maskini! CHADEMA imejaa vilaza hakika.
UWEPO WA CHADEMA NI HASARA KWA TAIFA HAKIKA IFUTWE IPOTEE KABISA HUENDA MIPANGO IKAPANGIKA,
Copy & paste
CHADEMA imebeba watu wenye fikra ndogo walio wengi kuliko wenye mawazo mapana ambao ni wachache sana tena wapo kwa idadi kamili
CHDEMA haina watu ina viatu ambavyo huvaliwa ili kusaidia mtembeaji asiumie unyayo wake na miba
CHADEMA inatia huruma kuu, ikiwa mtu anadiriku kuchia dhamana aliyo pewa na wananchi tena kwa machozi na wakati mwingine damu , anaachia dhamana aliyo ipambania kwa damu na nyama
CHADEMA mnawadhulumu wananchi haki yao , tena haki waliyo ipigania kwa jasho, na imani waliyo iweka kwenu, leo mnawaacha wameduwaa , mmewatelekeza walipo waamini , mda wao umepotea bure, ni bora wasinge husika kuwachagueni ninyi hakika mnawadharau wananchi, manitia hasara serikali
CHADEMA iondoshwe ,iondoke ifutike kabisa isionekane tena ulingoni , hasara hii imetosha madiwani wanaondoka ' wabunge wanaondoka nini msimamo wenu?? Nani chanzo cha haya? Tatizo ninini?
CHADEMA , hamjajua kuchagua wagombea? Hamjajua kuwatambua mamluki,au ,mnaokoteza kila ajaye , hakika mnalitia hasara taifa CHADEMA muondoke.
CHADEMA , taifa halija tengamaa kiuchumi , taifa bado lina dhiki thiki inayo fanya mambo mengine yasiende hamna huruma CHADEMA pesa za kurudia uchaguzi huo unao tokana na watu wenu wa ajabu katika kata na majimbo haiwaumi CHADEMA ?
Kwani mkienda vijijini mkakuta mama kajifia na mwanae tumboni kwa kukosa huduma ya afya karibu ,mwana funzi ana kaa chini ya mti kwa kukosa darasa ,mwalimu anaishi nyumba za makuti tena kwa kulipa kodi shule hazina nyumba hayo hayawaumi CHADEMA? mnakubali kweli pesa iende tena kugharamia uchaguzi kwa sababu tu mnawaweka watu wasio jua wajibu wao na thamani ya nafasi walizo nazo??
Yes! Tuhisi wamehongwa , ama vinginevyo vyovyote je? Kwa nini wawe wao tuu? Inamana wana njaa sana wanakisa nini huko chamani, au tamaa ya pesa nyingi ninini tatizo??kwa nini wawe na tamaa? Jee ni hulka ya chama chenu? Mnalitia hasara taifa CHADEMA
CHADEMA hamuoni huruma kina mama vijijini huko wana kunywa ,aji ya madimbwi pamoja na ng'ombe na punda na fisi hawana namna wanakunywa tu na hasa kwa sababu wameyafuata umbali mrefu sana hawana namna , kweli mnaona bora kuingiza pesa kwenye uchaguzi mpya tena wa kijinga kwa sababu tu mnaweka watu wasio jua wajibu wao kwa wananch
CHADEMA kwanini mnatuwekea watu na wagombea wasio jua wanamtumikia nani?? Kwanini mnaweka watu wenyw elimu ndogo ya uraia inamana chadema imejaa wajinga ,? Yes imejaa wajinga maana hawajui wanamtumikia nani ama wananchi ama serikali hawajui maskini! CHADEMA imejaa vilaza hakika.
UWEPO WA CHADEMA NI HASARA KWA TAIFA HAKIKA IFUTWE IPOTEE KABISA HUENDA MIPANGO IKAPANGIKA,
Copy & paste