Kumbe Nchi Iko Vitani na Al-Shabaab


kwenye simba na yanga hakutakuwa na mkusanyiko?
 

Bora aseme huyo kikwete muslam mwenzenu vingivyo yangetolewa matamko dhidi ya serkali kupinga uislam
 
Hivi al-shabaab wanapenda maandano zaidi kuliko kusanyiko la uwanja wa taifa fitina hizi
 


Unajua Kikwete ni msanii sana na alipokutana na Kibaki kule Australia katika mkutano wa jumuiya ya madola akawa hana la kusema akaropokwa mwambieni huyu bwana mdogo aache jazba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…