Kumbe Nape ni mstaarabu

 

Unamaanisha kwenye salary slip ya mwalimu kuna posho ya usafiri au nauli,ifanyishe kichwa chako akili yake sio kujisifu na kujichoresha!!!
 
Unamaanisha kwenye salary slip ya mwalimu kuna posho ya usafiri au nauli,ifanyishe kichwa chako akili yake sio kujisifu na kujichoresha!!!

mkuu nadhani huyu jamaa ni katika waliotumbuliwa sasa anaamua kumalizia hasira zake humu, ndio mana hata umuelewesheje haelewi.
 
wanaomsapoti wote ni wapumbavu.hayo maneno akamwambie bosi wake sio sisi
 
Akiita wenzake mizigo so asipojirekebisha ye ataitwa mzigo, tena zigo la misumari so lazima a jitahidi sana
 
Nimemfurahia sana jana aliposema kuwa watumishi wa umma lazima tuwawezeshe ndo tuwadai utendaji kazi sahihi. Utakuta watumishi wengi hawana vitendea kazi lakini tinasema hapa ni kazi tu haiwezekani.

Big up Nape, N.

Ninakumbuka Nape akiwa na Kinana kwenye kikao cha usuluhishi kati ya wakulima wa miwa Mtibwa na mwekezaji pale Morogoro alimkemea vikali mkurugenzi wa bodi ya sukari , pale DG huyo alipodai kua ushuru wa cess hulipwa na mkulima huku ukweli ukiwa kua ushuru ulipaswa kulipwa na mwekezaji. Toka siku ile nilipata picha kua jamaa ni mtu wa kutetea haki sana..... Ninamkubali hasa !
 
Nape anachukiwa na wapinzani tu kwa kuwa hamuachi MTU na mavi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…