Duh hiyo balaa mkubwa, pole hayo mambo yapo tu. Ndo tatizo letu kuowa au kuwa na mahusiano na mtu aliyeachwa. Lazima tu inatokea. Mengine huwa tunaweka tu vifuani but ki ukweli wachache sana wanafurahia tabia za wenzi wao. Si unajua mapenzi ulaya, Africa biashara?