Kumbe nacheza uwanja mmoja na baba

mchorazombie

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
282
Reaction score
114
Wasalam wakuu,

Ni wiki ya tatu sasa tangu mama asafiri kwenda kwenye msiba huko nyumbani kwao, nyumbani tumebaki mimi, baba na mfanyakazi wetu wa ndani.

Kwa vile mimi nimeshamaliza chuo na muda mwingi huwa nashinda nyumbani (sina kazi) nimejikuta nikiingia katika mahusiano ya mapenzi na huyu msichana waa kazi.

Juzi usiku kama kawaidayangu nilienda chumbani kwake ila sikumkuta ikabidi nitege mingo ili nijue huyu msichana kaenda wapi, baada ya kama lisaa 1 nilishtuka kuona mlango wa kwa baba unafunguliwa na yule msichana wa kazi kakatoka na kwenda chumbani kwake.

Niliumia sana kuona kile kitendo si kwa wivu wa mapenzi bali kwa kile kitendo alichofanya baba na ukizingatia anamke wa ndoa (mama yangu).

Wadau naombeni busara zenu kuwa anachokifanya sio kizuri au nimwambie na bi mkubwa?
 
Mfanyie zengwe beki tatu atimuliwe...

Mnaweza weka houseboy..kama na huyo msure wako akimMendea basi kunatatizo hapoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€



Pamoja mkuu nitajaribu kumuanzishia figisu figisu huyu beki 3 Ili atimuliwe tu.
 
Mchane msure wko lkn usisubutu kumwambia mama yko
 
Reactions: nao
Acha wivu mshua ni tingatinga anakuchongea road
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…