Dharra
JF-Expert Member
- Jun 23, 2017
- 1,661
- 2,932
Natamani Salim kikeke nae aje hapa atoe hadithi yake ya channel ten. Kuna siku nilipanda Basi na mtangazaji mdada mmoja maarufu kuelekea Dodoma. Aliyonisimulia kinachoendelea kwenye hizi media unaacha kinywa wazi, kuanzia wale wanaokwenda kwa ajili ya field mpaka waajiriwa, nilimuuliza swali moja, kwa nini wewe hadi sasa unaendelea kuwepo huko? jibu nililolipata toka kwake "sina pa kwenda na ni bora nidhalilike lakini mkono wangu na wa mtoto wangu uende kinywani" nilichoka.