Hivi najiuliza huyu VASCO DA GAMA ni lazima kila safari ya nje aende yeye? MAKAMU WAKE anafanya nini? Waziri wa Mambo ya Nje kazi yake nini? MALAWI ni majirani but hatupo close kiviile kama zilivyo Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi(member wa EAC) hata MUTHARIKA hakuwa mtalii kama Mkuu sasa hii courage hii ya kuhudhuria kila tukio anapata wapi...nnavomfahamu mkulu lazima ahudhurie pia OLYMPICS 2012. kufanya kazi na Mkulu ni kaazi kweli kweli labda uwe mzee wa Dar es Salaam ndo mtaelewana.