Cdhani ni kama ni mtazamo huo.lakini tusihukumu. wakti mwingine picha hutoa tafsiri tofauti na hali halisi muda ilipopigwa. Unaweza kuonekana unasinzia kumbe wakati ule uliblink kidigo jicho- tayari unaeleweka vibaya. Zitto anacheza rhumba kistaarabu, wengine wangekumbatia,etc,etc