Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,806
- 15,369
Kumbe mapinduzi yanayofanywa kwa serikali hayakuanza leo. Historia inaonesha kwamba, mapinduzi ya awali kabisa yalitokea miaka 2800 kabla ya kuzaliwa kwa Yesu.
Wananchi kutoka mji wa Lagash, katika Sumeria waliipindua Serikali ya Mabwanyenye ambao walikuwa wanajaza mifuko yao bila kujali maslahi ya wananchi na kila siku walikuwa wanapandisha kodi.
Najua mtauliza Source, Bofya hapa: Sumerian Inscription Umma and Lagash - Babylonia
Wananchi kutoka mji wa Lagash, katika Sumeria waliipindua Serikali ya Mabwanyenye ambao walikuwa wanajaza mifuko yao bila kujali maslahi ya wananchi na kila siku walikuwa wanapandisha kodi.
Najua mtauliza Source, Bofya hapa: Sumerian Inscription Umma and Lagash - Babylonia