Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,133
- 166,013
i love my kabila mpare....aka ngasu ya vome
iyeee ndo uthii vikoreOne brood avae
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
NANI ZAIDI
1. Mmeru anayeenda benki na spana kufungua akaunti.
2. Msambaa anayevua viatu kuingia kwenye taxi.
3. M'kwereanayeingia kitandani na rula kupima atalala kwa muda gani.
4. Msukuma aliye nurse anayemwamsha mgonjwa usingizini ili ampe dawa ya usingizi kwa sababu alikuwa amesahau.
5. Mzaramo anayepunguza sauti ya tv ili asome sms ya simu.
6.Mluguru anayepanda kwenye mwembe kuchagua yaliyoiva halafu anashuka na kuyaangua kwa kuyarushia mawe.
7. Mmachinga aliyekagua kipande cha barafu ili ajue wapi kimetoboka maana kinavuja maji.
8. Mngoni anayeng'arisha viatu vyake ili apige picha ya passport size.
9. Mhaya aliyepiga magoti kwenye simu akiomba awe accepted at Makerere Univesiti..
