Kumbe Inawezekana!

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
View attachment 160899
kwa nini mnang'ang'ani mashangingi kama inawezekana kupanda Bodaboda?

acheni maigizo, you can fool some people sometimes...........................
 
Ccm ni ndumilakuwili sana,hapo kuna kitu kinatafutwa asingepanda pikipiki Nchemba.
 
Weka na ile waliokuwa kwenye bajaji nikuonyeshe kitu
 
Mimi naona kwa mbali V8 zinakuja hapo no tofauti sababu V8 limejazwa mafuta linafuata hizo bodaboda na hizo boda boda zimejazwa mafuta na serekali sasa nini cha ajabu kama sio kusikitika.
 

akitoka hapo anakwenda kwenye shangingi lake
 
Mimi naona kwa mbali V8 zinakuja hapo no tofauti sababu V8 limejazwa mafuta linafuata hizo bodaboda na hizo boda boda zimejazwa mafuta na serekali sasa nini cha ajabu kama sio kusikitika.

huruma sana, tumelogwa na aliyetuloda kafa tayari
 

utafikiri Kigwa anaelekea Bungeni Dom kumbe kapanda kupiga picha tu
 
siasa ikizidi nchini ni umasikini tu , inakuwa watu wenge wajaihusisha na uzalishaji unapunguwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…