Kumbe inawezekana kuachia ofisi bila kukabidhi? Mwenyekiti mstaafu na Balozi wametufunza jambo

Kumbe inawezekana kuachia ofisi bila kukabidhi? Mwenyekiti mstaafu na Balozi wametufunza jambo

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,098
Salaam,

Mwenyekiti mstaafu hakuwahi kukabidhi ofisi, na aliyekabidhiwa ilibidi anyamaze tu, maana sasa utasema nilikuta hilli na hili halikuwepo, nani shahidi?

Jambo Hilo Hilo limejitokeza kwa aliyekuwa balozi huko jirani na kwa akina Trump, ameachia ofisi bila kufanya makabidhiano,

Sasa jambo hili linaweza kuwapa mahasimu wake mwanya wa kumchafua kwamba amekimbia na mikoba ya ofisi.

Ushauri: Uwekwe utaratibu mzuri wa kisheria wa kukabidhi kwa wenye kuachia ofisi kwa njia kama hii ya balozi na Mkt mstaafu.

Nawasilisha 🙏
 
Hata JPM naye aliishia tu kulalamika kwamba kibubu hakikuwa na mia mbovu, aliyekuwa amekalia ofisi kimyaa !
 
Hata Hawa waliopona,

Wanapoondoka, wakabidhi ofisi na kusema wameacha kiasi gani kwenye kibubu kama kianzio kwa anayekabidhiwa ofisi
 
Hata Hawa waliopona,

Wanapoondoka, wakabidhi ofisi na kusema wameacha kiasi gani kwenye kibubu kama kianzio kwa anayekabidhiwa ofisi
Kwani Bilionea Mbowe hukuona alichofanya,hadi leo Tapeli Lissu ni acting chairman tu hana lolote
 
Back
Top Bottom