Kumbe huu utapeli bado upo?

Kuna mijinga minga mingine ilitaka kuniingiza chaka hv karibuni wanadai wana safisha dollar pia wana black money wana dublicate elf10 wakatoa bluck m mbili kaweka noti ya 10elf ktkt ya zile bluck baada ya hapo kaminya sijui dawa gani kaanza kuscratch kama vocha kweli 10elf ikazaa 20 ikawa jumla 30elf baada ya hapo wanataka niwe na mtaji around 10m ili itoke 20m jumla ziwe 30m 2kazozana na maswali ya hapa na pale akadai 10m kama cna nitafute hata 5m ili jumla zje kua 15m yeye achukue 5m kama faida ya kazi yake mm nibaki na 10m kama mtaji na faida nikamsubirisha kama cku mbili nikaanza kuwasaka mdogo mdogo nilicho kuja kubaini hao watu sio mkate wa kurumangia hata kwa supu ya mbwa! Ukikutana nao huwezi dhania kabisa
 
Hii tabia iko sana msamvu morogoro kuna Dogo mmoja wa mzumbe alishawahi kupigwa changa hivi hivi
 
Mimi nilitapeliwa hivyo kitambo sana nikiwa form2. Sasa hv akinifuata na maneno hayo namtapeli yy
Mkuu hela ya tapeli hailiwi huwa ni chambo, sana sana utaishia kutapeliwa kwa staili nyingine.
 
Siku hizi wanyamwezi huko znz wanafanya sana hayo...
Juzi tu hapa katepeliwa mtu ..laki nne mkononi ..simu na saa...na kwenye ATM wakamtoa 1m.
 
wangekufanya kitu kibaya sana

Kweli umasikini mbayaa
 
duh yani uyu dogo wala simcheki mimi nilishawai kulizwa nakumbuka nilikuwa nipo form 3 Enzi hizo nilikuwa natoka zangu bunju naenda chuo kikuu UDSM nampelekea bro vijisenti vya kula sasa ile nashuka tu mwenge pale stendi kabla haijaamishwa basi jamaa wa kwanza akaja sijakaa vizuri akaja mwingine yani dah wale washenzi waliniuliza hospitali ya mwenge yani walinisemesha nilijikuta napoteza mawazo tena ya kwenda udsm yani walinitembeza mpak kule bamaga around maeneo ya taasisi ya mitiani necta maeneo hayo waliniibia vijisenti vyangu baati nzuri mfuko mwingine wa suruali nilikuwa na kama mia tano by that time nauli ilikuwa shilingi hamsini ila dah aya mambo sio ya kumcheka mtu
 
Kabisaa mkuu sio miaka hiyoo tu hata leo kuna watu wanaibiwaa kwa style hii
 
imewahi kunitokea kariakoo hiyo 2012 ila nikashtuka hapo kwenye kuacha simu nikasepa mbio
wachawi wale wapumbavu na mimi nilitafuna zikatoka nywele.nilisali sana siku hiyo nikajua labda nitadhurika hahaaa
na sikuwahi kumwambiaga mtu hiyo issue
 
Mimi nishapigwa kitambo hiyo 2008 ilikuwa inafanana naiyo maeneo ya Tandika
 
Enzi hizo wanafunzi waliibiwa sana pesa za ada.
Nikiwa form two mwaka 1998 nilinunuliwa buti Fulani Kali,sasa naenda zangu shule Minaki nipo maeneo ya around about ya shule Uhuru pale kuna shoe shine jamaa akaniambia dogo viatu vyako vizuri lakini huna dawa mzuri ya kuvishine Mimi ninayo hapa ngoja nikupigie ukiipenda nitakuuzia. Mimi machale yakanicheza,nikamuambia sawa. Jamaa akaniambia via viatu basi,nikamuambia piga vikiwa mguuni. Jamaa kapiga brush kama nne kisha akaniambia dogo kila brush moja mia tano. Nikamuambia husinitanie Mimi mtoto wa Kinondoni Moscow kule mateja wanaiba mpaka vijiko alafu wewe unajaribu kuniibia kiboyo hivi,nikaondoka zangu jamaa wakawa wanacheka tu.
 
Walinikumba YMCA wakaenda kunipiga kazi Coffee Curing njia panda ya Njoro. Situation ilikuwa the same mpaka kesho sihitaji mtu aniulize usenge nikiwa njiani.
 
Shida hamna cha kufanya,mnatembeatembea tu bila ratiba mjini.

Kama una miadi yako,sioni ukimpa attention mtu baki tu kwa muda wote huo unaamrishwa kama zuzu.

Unaanzaje kwanza kutafuna makaratasi umepewa na stranger tu njiani?

 
Sikujui hunijiui
Yanini nikusikilize??
Hata salamu yako siitikii...Nakausha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…