Kumbe hata wao ni waoga pia...

Kumbe hata wao ni waoga pia...

Bantugbro

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2009
Posts
4,473
Reaction score
4,254
Kampuni ya Unilever ya Kenya imekwenda mahakamani kujaribu kuzuia bidhaa (sabuni na manukato) za kibongo zinazotengenezwa na kiwanda cha Tanga zisiingie kwenye soko la Kenya.

Ni muda mrefu sasa waKenya wengi wanazipenda bidhaa za Tanga kutokana na ubora wake wa juu na bei poa ukilinganisha na bidhaa za Unilever...

EAC common market itawezekana kweli kama mambo yenyewe yataendelea kuwa hivi. Ikumbukwe pia maofisa forodha wa Kenya wamekuwa wakibania maziwa ya paketi yanayozalishwa na Musoma diaries yasiingie kwao kwa kuwawekea msururru wa kodi n.k..

Endelea na chanzo hapo chini:

Tanzanian firm sued over 'LUX' soap trademark row
 
1.hawa jamaa ni wajanja.
2.watafaidika zaidi wao kuliko sisi.
 
Kampuni ya Unilever ya Kenya imekwenda mahakamani kujaribu kuzuia bidhaa (sabuni na manukato) za kibongo zinazotengenezwa na kiwanda cha Tanga zisiingie kwenye soko la Kenya.

Ni muda mrefu sasa waKenya wengi wanazipenda bidhaa za Tanga kutokana na ubora wake wa juu na bei poa ukilinganisha na bidhaa za Unilever...

Endelea na chanzo hapo chini:

Tanzanian firm sued over 'LUX' soap trademark row

this is certainly in the spirit of the EAC! unilever should stop the nonesence. let the market descide which goods are better.

EAC common market itawezekana kweli kama mambo yenyewe yataendelea kuwa hivi. Ikumbukwe pia maofisa forodha wa Kenya wamekuwa wakibania maziwa ya paketi yanayozalishwa na Musoma diaries yasiingie kwao kwa kuwawekea msururru wa kodi n.k..
kenya and south africa are the only two nations in africa that produce enough milk for domestic use and have a surplus to export so it will be very hard for tanzanian milk products to do well in the kenyan market
 
kenya and south africa are the only two nations in africa that produce enough milk for domestic use and have a surplus to export so it will be very hard for tanzanian milk products to do well in the kenyan market

The problem is not the competition but rather the red tape (protectionism) by the custom or G.o.K guys.

A.F.A.I.K Zimbabwean & Namibian diary companies are exporting their products in the R.S.A market and they are doing well...
 
am highly impressed with the Tz firm exporting to kenya and causing hysteria on the rival company there. kumbe tunaweza. and this means kila sekta tukiwa serious wakenya tunawapiga chini. na ili hili litokee, we have to do it...u can't score a goal without shooting on goal. Go Bongo Go! Your only fear is lack of confidence
 
speaking as a businessman........

i think there is a real issue of trademark here that some of you are overlooking. any businessman would be crazy not to take action

unilever is not afraid, it has more money more assets and they cover a large market than the tanzanian company and they can use that financial muscle to kill the ambitions of the company from tanga.

speaking as a consumer.........

the more the competition the better for my wallet therefore i welcome the company from tanga. competition can only be good.
 
The problem is not the competition but rather the red tape (protectionism) by the custom or G.o.K guys

isnt it tanzania that locks out kenyans from buying shares at the dar stock exchange?

however i will say that alot needs to be done to increase the efficiency of the common market. slowlybut surely we will get there
 
Kampuni ya Unilever ya Kenya imekwenda mahakamani kujaribu kuzuia bidhaa (sabuni na manukato) za kibongo zinazotengenezwa na kiwanda cha Tanga zisiingie kwenye soko la Kenya.

Ni muda mrefu sasa waKenya wengi wanazipenda bidhaa za Tanga kutokana na ubora wake wa juu na bei poa ukilinganisha na bidhaa za Unilever...

EAC common market itawezekana kweli kama mambo yenyewe yataendelea kuwa hivi. Ikumbukwe pia maofisa forodha wa Kenya wamekuwa wakibania maziwa ya paketi yanayozalishwa na Musoma diaries yasiingie kwao kwa kuwawekea msururru wa kodi n.k..

Endelea na chanzo hapo chini:

Tanzanian firm sued over 'LUX' soap trademark row



Of all the countries involved in the EAC Kenya is more than willing na wanataka saana huo muungano. Hiyo ya bidhaa bora za Tanga naamini mi moja tu ya exceptions, ukiobserve sana hasa hapa Bongo wamekazana kuja na wanaongezeka kwa kasi. We really have to pull up our socks and be ready for the competition. Nimeshukuru sana kwa hii thread mana I was not aware kua wame impose Competition kwa Wakenya mpaka ku react' and am proud of those Tanga products na kazi wanafanya.
 
sasa utashangaa akina mwapachu na sita kimyaaaaa

hii nchi kama vile imelogwa

mi niliposikia mengi alitumia miaka kumi kupata kibali cha channel 5
kuonekana kenya nilishangaaa mno.....

wakenya wana agenda kwenye hii eac
sisi tupo kama mazuzu vile....
 
hata mzindakaya alilalamika bungeni kuwa
wamemzuia kuuza nyama za kiwanda chake huko kenya.....

tungekuwa na akili

tungeanzisha muungano na zambia ,malawi na msumbiji.......

but kujiongoza wenyewe hatuwezi,tutamuongoza nani????????
 
Huyu Six na Mwapachu wote ni makuwadi wa matumbo yao haiwezekani wawe wanawachekea manyang'au bila kufanya kile walichotumwa na watanzania.
 
Hapa ishu ni trademark- Body lux (Tanga) vs LUX ya unilever. It makes sense kwa unilever kwenda mahakamani kwasababu bidhaa zao zinafanana (similar products-e.g.soaps) na wanauza kwenye soko moja la Kenya, hii inaweza kuwachanganya wateja.
 
Kampuni ya Unilever ya Kenya imekwenda mahakamani kujaribu kuzuia bidhaa (sabuni na manukato) za kibongo zinazotengenezwa na kiwanda cha Tanga zisiingie kwenye soko la Kenya.

Ni muda mrefu sasa waKenya wengi wanazipenda bidhaa za Tanga kutokana na ubora wake wa juu na bei poa ukilinganisha na bidhaa za Unilever...

EAC common market itawezekana kweli kama mambo yenyewe yataendelea kuwa hivi. Ikumbukwe pia maofisa forodha wa Kenya wamekuwa wakibania maziwa ya paketi yanayozalishwa na Musoma diaries yasiingie kwao kwa kuwawekea msururru wa kodi n.k..

Endelea na chanzo hapo chini:

Tanzanian firm sued over 'LUX' soap trademark row


Safi sana hii na bado tutawakomesha ubishi, ngoja tuwang'oe madarakani Chama Cha Majambazi ndio watajua kile kilichomtoa kanga manyoya. Manyang'au ni makupe ambayo yamejichimbia na yananyonya damu ya Watanzania. Hulka yao ni kuona ukanda wa utalii unamilikiwa na Mafisadi yao ya kiingereza kwa mgongo wa mafisadi.


BTW Nafikiri ile rate ya $100 kwa siku inatakiwa iongezwe iwe sawa na £100 kwa siku kwa wageni kwenye mbuga zetu maana hiyo mia imekaa tangu zamani hivi hawafahamu kwamba kuna recession na matatizo ya umeme nchi hii? tena watoto wetu wengi siku hizi vitabu vimechakaa lazima tutmie hizi rasilimali ambao hawataki kuja kwetu waende Kenya wakaone Amboseli.
 
Hapa ishu ni trademark- Body lux (Tanga) vs LUX ya unilever. It makes sense kwa unilever kwenda mahakamani kwasababu bidhaa zao zinafanana (similar products-e.g.soaps) na wanauza kwenye soko moja la Kenya, hii inaweza kuwachanganya wateja.

Hivi kweli wateja wasomi kama manyang'au kweli wanaweza kuchanganywa na bidhaa kama hii?
 
Hapa ishu ni trademark- Body lux (Tanga) vs LUX ya unilever. It makes sense kwa unilever kwenda mahakamani kwasababu bidhaa zao zinafanana (similar products-e.g.soaps) na wanauza kwenye soko moja la Kenya, hii inaweza kuwachanganya wateja.

Wait a minute...

Both LUX and Bod lux have been in the market side by side (talking the TZ market), i myself remember using both products for sometime now without any confusion. It is like Pepsi cola and Coca cola.

The time is now for the dinosour (Unilever) to be extinct....:smile-big:
 
hata mzindakaya alilalamika bungeni kuwa
wamemzuia kuuza nyama za kiwanda chake huko kenya.....

tungekuwa na akili

tungeanzisha muungano na zambia ,malawi na msumbiji.......

but kujiongoza wenyewe hatuwezi,tutamuongoza nani????????

Watabana watafungua tu...
 
Back
Top Bottom