Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,254
Kampuni ya Unilever ya Kenya imekwenda mahakamani kujaribu kuzuia bidhaa (sabuni na manukato) za kibongo zinazotengenezwa na kiwanda cha Tanga zisiingie kwenye soko la Kenya.
Ni muda mrefu sasa waKenya wengi wanazipenda bidhaa za Tanga kutokana na ubora wake wa juu na bei poa ukilinganisha na bidhaa za Unilever...
EAC common market itawezekana kweli kama mambo yenyewe yataendelea kuwa hivi. Ikumbukwe pia maofisa forodha wa Kenya wamekuwa wakibania maziwa ya paketi yanayozalishwa na Musoma diaries yasiingie kwao kwa kuwawekea msururru wa kodi n.k..
Endelea na chanzo hapo chini:
Tanzanian firm sued over 'LUX' soap trademark row
Ni muda mrefu sasa waKenya wengi wanazipenda bidhaa za Tanga kutokana na ubora wake wa juu na bei poa ukilinganisha na bidhaa za Unilever...
EAC common market itawezekana kweli kama mambo yenyewe yataendelea kuwa hivi. Ikumbukwe pia maofisa forodha wa Kenya wamekuwa wakibania maziwa ya paketi yanayozalishwa na Musoma diaries yasiingie kwao kwa kuwawekea msururru wa kodi n.k..
Endelea na chanzo hapo chini:
Tanzanian firm sued over 'LUX' soap trademark row