Kumbe hata katiba ya Zanzibar haijataja mahakama ya kadhi?

Mapokeo yana shida yake hasa yakimpata mtu aliyeikosa elimu dunia na hivyo kushindwa ku-reason. Tuiombee nchi yetu amani, umoja na mshikamano na tujiepushe na viongozi wachumia tumbo.

Kama mahakama ya kadhi tayari ipo kwa nini iwe lazima itambuliwe kikatiba?

ILI KUONYESHA MSISITIZO, WANGEZIFUTA MAHAKAMA ZA KADHI ILI KUISHINIKIZA SERIKALI IZITAMBUE KIKATIBA KWANZA.

Hiyo nadhani ngumu kumeza!!!
 
Mambo ya Waislam yanajadiliwa na wasiokuwa waislam... hii si sawa hata kidogo...

Mngetaka wasio wislam wasiyajadili mnganzisha wenyewe na kuigharamia wenyewe iyo mahakama yenu na isiingie kwenye katiba ya watu wote pamoja na wasiokuwa waislam
 
Mleta mada anasema kuwa Mahakama ya Kadhi haimo katika katiba ya Zanzibar, hii siyo kweli Hebu Soma Ibara ya 99 (b) ya Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 toleo la 2010 inayosema hivi:

99. Mahkama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
itakuwa na uwezo wa kusikiliza rufaa kutoka Mahkama Kuu ya
Zanzibar isipokuwa kesi zozote zinazohusika na:
(a) tafsiri ya Katiba hii;
(b) mambo ya Kiislamu ambayo yameanzia katika
Mahkama za Kadhi;
(c) mambo mengine yoyote yaliyoainishwa katika Katiba
hii na Sheria nyengine yoyote iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

Kwa mujibu wa Ibara hiyo Mahkama za Kadhi zinatambulika kikatiba Zanzibar.
Sasa Najiuliza Kitu Kimoja, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, Na Zanzibar kuna Mahakama za Kadhi, Kama Katiba ya Tanzania ni Supreme na kwamba inakataza upendeleo wa kidini, iweje Mahakama Ziundwe katika sehemu moja ya Nchi Halafu ziwe haramu katika sehemu nyingine ya nchi?

Je Watanzania Wakiristo walioko Zanzibar ambao nao ni walipa kodi, Mbona kodi zao sehemu inaenda kuhudumia mahakama za Kadhi, halafu eti Iwe Nongwa kwa Waislamu kuanzisha mahakama hizo na kuzilipia wenyewe?
 
Mleta mada anasema kuwa Mahakama ya Kadhi haimo katika katiba ya Zanzibar, hii siyo kweli Hebu Soma Ibara ya 99 (b) ya Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 toleo la 2010 inayosema hivi:

99. Mahkama ya Rufaa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
itakuwa na uwezo wa kusikiliza rufaa kutoka Mahkama Kuu ya
Zanzibar isipokuwa kesi zozote zinazohusika na:
(a) tafsiri ya Katiba hii;
(b) mambo ya Kiislamu ambayo yameanzia katika
Mahkama za Kadhi;
(c) mambo mengine yoyote yaliyoainishwa katika Katiba
hii na Sheria nyengine yoyote iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

Kwa mujibu wa Ibara hiyo Mahkama za Kadhi zinatambulika kikatiba Zanzibar.
Sasa Najiuliza Kitu Kimoja, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, Na Zanzibar kuna Mahakama za Kadhi, Kama Katiba ya Tanzania ni Supreme na kwamba inakataza upendeleo wa kidini, iweje Mahakama Ziundwe katika sehemu moja ya Nchi Halafu ziwe haramu katika sehemu nyingine ya nchi?

Je Watanzania Wakiristo walioko Zanzibar ambao nao ni walipa kodi, Mbona kodi zao sehemu inaenda kuhudumia mahakama za Kadhi, halafu eti Iwe Nongwa kwa Waislamu kuanzisha mahakama hizo na kuzilipia wenyewe?

Mwandishi amesema ile ya 1984, hakutaja hiyo ya toleo la 2010, lakini pamoja na hayo ni bora ungeonyesha ni wapi aina za mahakama zinazotumika Zanzibar zimetajwa including na hiyo ya kadhi. Mkuu wakristo walioko Zanzibar ni less than 1 % hivyo kodi yao tunaweza kuiita extremely insignificant. Turudi kwenye mada, mahakama ya hakimu mkazi au ile ya wilaya hazijatajwa kwenye katiba je ukipatikana na hatia huko ukafungwa ina maana hukumu hizo si halali kwa sababu mahakama haijatajwa kwenye katiba???????
 
Mwandishi amesema ile ya 1984, hakutaja hiyo ya toleo la 2010, lakini pamoja na hayo ni bora ungeonyesha ni wapi aina za mahakama zinazotumika Zanzibar zimetajwa including na hiyo ya kadhi. Mkuu wakristo walioko Zanzibar ni less than 1 % hivyo kodi yao tunaweza kuiita extremely insignificant. Turudi kwenye mada, mahakama ya hakimu mkazi au ile ya wilaya hazijatajwa kwenye katiba je ukipatikana na hatia huko ukafungwa ina maana hukumu hizo si halali kwa sababu mahakama haijatajwa kwenye katiba???????

Soma tena Mada, Mleta mada kasema Mahakama ya Kadhi haijatamkwa katika katiba ya Zanzibar, Sasa imedhihirika kuwa Ibara ya 99 ya katiba hiyo imeitamka, KWA HIYO MLETA MADA AMEDANGANYA

Kitu kingine, ni kwamba Zanzibar Wakiristo wapo na Kanisa kule Lipo, mbona Basi Maaskofu hawajatoa Tamko la Kuitaka mahakama ya Kadhi Isitambulike kisheria huko Zanzibar. AU Maaskofu Wanapozungumzia Tanzania wanaiexclude Zanzibar?.
 
Soma tena Mada, Mleta mada kasema Mahakama ya Kadhi haijatamkwa katika katiba ya Zanzibar, Sasa imedhihirika kuwa Ibara ya 99 ya katiba hiyo imeitamka, KWA HIYO MLETA MADA AMEDANGANYA

Kitu kingine, ni kwamba Zanzibar Wakiristo wapo na Kanisa kule Lipo, mbona Basi Maaskofu hawajatoa Tamko la Kuitaka mahakama ya Kadhi Isitambulike kisheria huko Zanzibar. AU Maaskofu Wanapozungumzia Tanzania wanaiexclude Zanzibar?.

Mkuu naona una elements za ubishi ok hivi ndivyo alivyosema

Hata Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, nchi ambayo asilimia 99 ya wakazi wake ni Waislamu na yenye Mahakama ya Kadhi, haitaji kuwapo kwa Mahakama hiyo, lakini imepewa mwanya wa kuingizwa katika kundi la "Mahakama nyenginezo", ambazo kwa mujibu wa Ibara ya 100 ya Katiba hiyo, "Baraza la Wawakilishi linaweza kuanzisha Mahakama nyengine zilizo chini ya Mahakama Kuu ….zitakazokuwa na uwezo wa madaraka ya aina ambayo yataainishwa katika Sheria".

Hapo nnachokielewa mm, ni kutajwa kuwa ni aina mojawapo chini ya mfumo wa kimahakama Zanzibar, Ikiwa na maana kuanishwa kwa majukumu yake, viongozi wake wanapatikanaje, na nini ni superior na subordinate kwake na si kutajwa kama ulivyoileta wewe. Nna hakika unalielewa hili ila unataka kuanzisha ligi isiyo na mashiko.

Na hiyo hoja yako nyingine, je ni kwa nn basi waislamu wanaokereka huku bara waihamie Zanzibar au nchi nyingine zenye mahakama ya kadhi?? Just thinking.
 
Mkuu naona una elements za ubishi ok hivi ndivyo alivyosema



Hapo nnachokielewa mm, ni kutajwa kuwa ni aina mojawapo chini ya mfumo wa kimahakama Zanzibar, Ikiwa na maana kuanishwa kwa majukumu yake, viongozi wake wanapatikanaje, na nini ni superior na subordinate kwake na si kutajwa kama ulivyoileta wewe. Nna hakika unalielewa hili ila unataka kuanzisha ligi isiyo na mashiko.

Na hiyo hoja yako nyingine, je ni kwa nn basi waislamu wanaokereka huku bara waihamie Zanzibar au nchi nyingine zenye mahakama ya kadhi?? Just thinking.

Katiba ikishatamka uwepo wa Taasisi fulani siyo jukumu lake kuelezea Nitty Gritty ya kila kitu kuhusu Taasisi hiyo, La sivyo ungekuwa na Katiba kubwa kama Encyclopaedia. Ni jukumu la sheria sasa kuelezea muundo wa taasisi hiyo na Viongozi wake wapatikane vipi, na hivyo ndivyo Katiba ya Zanzibar ilivyofanya kuhusiana na Mahakama ya kadhi.

Halafu kitu kingine kisichoeleweka ni Kwamba Katiba ya Zanzibar inayotawala leo ni ya mwaka 1984, amabayo ilitiwa viraka mwaka 2010. KWA HIYO KAMA ILIVYO KATIBA YA TANZANIA YA MWAKA 1977, IMETIWA VIRAKA KIBAO KATIKA MIAKA MBALI MBALI LAKINI INABAKI PALE PALE KUWA NI KATIBA YA MWAKA 1977
 
Katiba ikishatamka uwepo wa Taasisi fulani siyo jukumu lake kuelezea Nitty Gritty ya kila kitu kuhusu Taasisi hiyo, La sivyo ungekuwa na Katiba kubwa kama Encyclopaedia. Ni jukumu la sheria sasa kuelezea muundo wa taasisi hiyo na Viongozi wake wapatikane vipi, na hivyo ndivyo Katiba ya Zanzibar ilivyofanya kuhusiana na Mahakama ya kadhi.

Halafu kitu kingine kisichoeleweka ni Kwamba Katiba ya Zanzibar inayotawala leo ni ya mwaka 1984, amabayo ilitiwa viraka mwaka 2010. KWA HIYO KAMA ILIVYO KATIBA YA TANZANIA YA MWAKA 1977, IMETIWA VIRAKA KIBAO KATIKA MIAKA MBALI MBALI LAKINI INABAKI PALE PALE KUWA NI KATIBA YA MWAKA 1977

Mkuu sijasema kuwa lazima kila item kuanisha vipengele vya kifungu cha katiba vitajwe. Lakini mainframe ya kila kilichotajwa mle imeainishwa. Mahakama kuu na ile ya rufaa zilizotajwa kwenye katiba ya jamuhuri ya muungano, majukumu yake yameainishwa and that is not nitty gritty, sasa hiyo unayosema imetajwa kwenye katiba ya Zanzibar yameainishwa wapi? Swali langu hujajibu bado mahakama ya mwanzo, wilaya, hakimu mkazi hazijatajwa kwenye katiba. Je hizi si halali???

Na hilo la katiba kuwekwa viraka na kubakia ya mwaka ule ule original hakuna liyelibishia, ila ukitaka kuwa specific on some specific issues lazima utaje mwaka wa marekebisho kama ulivyofanya wewe mwanzo.
 
Mkuu sijasema kuwa lazima kila item kuanisha vipengele vya kifungu cha katiba vitajwe. Lakini mainframe ya kila kilichotajwa mle imeainishwa. Mahakama kuu na ile ya rufaa zilizotajwa kwenye katiba ya jamuhuri ya muungano, majukumu yake yameainishwa and that is not nitty gritty, sasa hiyo unayosema imetajwa kwenye katiba ya Zanzibar yameainishwa wapi? Swali langu hujajibu bado mahakama ya mwanzo, wilaya, hakimu mkazi hazijatajwa kwenye katiba. Je hizi si halali???

Na hilo la katiba kuwekwa viraka na kubakia ya mwaka ule ule original hakuna liyelibishia, ila ukitaka kuwa specific on some specific issues lazima utaje mwaka wa marekebisho kama ulivyofanya wewe mwanzo.

Wewe unataka Sura nzima ya kuelezea Mahakama ya Kadhi kama ilivyoelezewa mahakama ya Rufaa?- Hiyo siyo hoja, kwa Sababu Ibara moja, au kipengele chake au neno tu kutamkwa ndani ya Katiba basi maana yake kuwa kipengele hicho au ibara hiyo ni sheria mama tayari ambayo inaweza kutungiwa sheria mbali mbali za utekelezaji wake au tafsiri yake!
 
Wewe unataka Sura nzima ya kuelezea Mahakama ya Kadhi kama ilivyoelezewa mahakama ya Rufaa?- Hiyo siyo hoja, kwa Sababu Ibara moja, au kipengele chake au neno tu kutamkwa ndani ya Katiba basi maana yake kuwa kipengele hicho au ibara hiyo ni sheria mama tayari ambayo inaweza kutungiwa sheria mbali mbali za utekelezaji wake au tafsiri yake!

Swali langu hujajibu bado mahakama ya mwanzo, wilaya, hakimu mkazi hazijatajwa kwenye katiba. Je hizi si halali???
 
Mambo ya Waislam yanajadiliwa na wasiokuwa waislam... hii si sawa hata kidogo...
Na ndio maana mambo ya waislamu lazima yakome kuingizwa kwenye siasa.
Maana mtakashifiwa bure na huku swala hilo halitakiwi kuwa kwa watu wote.
Mi nasisitiza , ni mtu mwenye wazimu tu na mwenye nia ya kuupaka matope uislamu ndo anataka ujadiliwe na wasio waislamu.
 
Hakika ukafiri ni upofu na ukiziwi; hauoni hata ukiwa na macho na hausiki hata ukiwa na masikio. Mola niepushe na ukafiri. Amin.
 
Mambo ya Waislam yanajadiliwa na wasiokuwa waislam... hii si sawa hata kidogo...
Mtu asiye mwisilamu akija msikitini kujadili uislam atakuwa anaingilia uhuru wa waislamu lakini ikiwa mmeamua mjadala uwe kwenye bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania basi hilo litazungumzwa na watanzania woote.

Usikasirike, km kadhi ni ibada basi ijadiliwe misikitini na ianzishwe huko.
 
Mngetaka wasio wislam wasiyajadili mnganzisha wenyewe na kuigharamia wenyewe iyo mahakama yenu na isiingie kwenye katiba ya watu wote pamoja na wasiokuwa waislam
Jee MOU waislam walishirikishwa?acha ujinga..serikali ingetumia bilion inazoipa kanisa kila mwaka hospital zake zingekuwa bora sn
 
Back
Top Bottom