Barya
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 949
- 1,193
Wananchi hasa vijana mnaopoteza muda wenu kwenye mitandao mkijipa matumaini kuwa kwa uongozi wa awamu ya tano mtapata vyeo vya bule kama vile ukuu wa wilaya na ukatibu wa sekta mbalimbali, sahau kabisa.
Muache Rais afanye kazi yake mwenyewe, utawala huu si wa awamu ya nne, kuweni makini.
Muache Rais afanye kazi yake mwenyewe, utawala huu si wa awamu ya nne, kuweni makini.