๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—š๐—ผ๐—ผ๐—ด๐—น๐—ฒ ๐—ž๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐—”๐—ฝ๐—ฝ๐—น๐—ฒ ๐˜๐—ฟ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐Ÿฑ๐Ÿฌ ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ฒ๐—ฒ๐—ต

๐—ž๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—š๐—ผ๐—ผ๐—ด๐—น๐—ฒ ๐—ž๐—ถ๐—น๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—บ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐—”๐—ฝ๐—ฝ๐—น๐—ฒ ๐˜๐—ฟ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ถ ๐Ÿฑ๐Ÿฌ ๐—ฎ๐—ถ๐˜€๐—ฒ๐—ฒ๐—ต

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
Google vs apple _20250725_172249_0000.png


Ripoti kutoka Google inaonyesha Kila mwaka Apple anachukua zaidi ya Dola bilioni $50 ili Google search ibakie kwenye browser ya safari kama default search Engine kwenye simu za iphone.

Huu ni mkataba mkubwa sana japo kwa Sasa imetokea ripoti ya kutokuamiana baina ya Google na Apple juu ya uhifadhi wa data za watu kwenye hivyo vifaa.

Mkataba huo ambao unaifanya app ya safari kwa watumiaji wote wa vifaa vya Apple Google kuwa default search engine kwenye upande wa utafutaji wa vitu mitandaoni.
 
Izo n propaganda za wamerekani hakuna mkataba wa ivyo izo kampuni hazina utajiri wa ivo inakuwaje ilipe kwa mwaka kama elon musk tajiri mkubwa dunian ana net worth kwa hela ya kibonga trilion 200 hawa wanatupumbaza sisi vilaza wa huku afrika yaan ukikaa ukawaelewa wazungu huwez teseka dunian hapa ndo mana ukiwa na akili sn au kiongoz anaejilewa wanaweza kukuua hao
 
Back
Top Bottom