<br />Kweli mkuu, Ila hata hiyo biashara haianzishwi bila mtaji, kwa hiyo ni lazima uajiriwe kwanza, au labda ukope au kama wazazi wako wako na hiyo miradi wakurithishe.
<br /><br /><br />
<br /><br />
kwan bakhresa ana shule gan mkuu,na mbona katoka?