Jamar Said
Member
- Sep 2, 2015
- 19
- 35
1. WARIOBA anataka katiba yake ya wananchi kwa 100%. CCM inapinga rasimu ya Warioba. Warioba anaipigia kampen CCM.Nimefurahishwa sana na hawa watu maarufu Tanzania kuwa mbele kwenye siasa za nchi yetu. Nimefurahishwa zaidi kuona wanataka mabadiliko ya kweli na sio bora mabadiliko..! Hongera Wema na Diamond.!
Kila siku nikiliona tangazo LA Magufuili star tv huwa nafurahia mno
Maana najua kwa Lowassa kura zimeogezeka 5000 kila likipigwa tangazo lile kura za Lowassa zinaongezeka
Hasa yale Maandishi Yasemayo "
Mabadiliko yanakuja !!!!
Sayansi ya Siasa hiyo!!!!!!!!!!
Ccm mnamfanyia Lowassa kampeni aaahh