Kumbe CHADEMA nao wasikitishwa!!

Mkuu usijenge hoja ambayo ni ya kusadikika alomradi inaridhisha nafsi yako.

Kwa mantiki yako bas Obama ndiye mbea nambari wani, kamtaiti Osama kwa kuambiwa tu, juzijuzi kateka mtu kwa kuambiwa ati alishiriki kupiga mabomu Dsm na Nairobi, tena hata kabla yeye hajafikiria kuwa atakuwa rais.

Reasoning yako ni myopic , self centered na most of all childish.
 
Ok Masopakyindi as you say my reasoning is myopic and self centered and and also you meant I am behaving childish. Now I want you who have a wide and inteligent reasoning to answer to the few questions I put here. I know you have the right answer unless you are pretending now to be of what you so called me
 
Mbowe yuko sahihi,nategemea watayamaliza kwa amani magogoni.
Lugha aliyotumia mzee wa kaya sio ya kistaarabu wala haina ladha kutamkwa na rais wa nchi hata tutumie maneno gani kumsafisha.
sasa tutamtofautishaje na vijana wa mitaani?tena alimtaja mtu binafsi zaidi ya mara sita,hii haikubaliki.

Kusema maccm ni sawa kwann naye asiseme machadema au wapinzani badala yake anamtaja mtu binafsi?

Lakini mm simshangai maana ananikumbusha wakati wa mgomo wa wafanyakazi alimtaja vivyo hivyo kwa jina Katibu mkuu wa TUCTA Nicolas Mgaya kwa chuki.
 
Ameambiwa!
Hilo tosha.

Ameambiwa peke yake haitoshi.akili ya kuambiwa changanya na zako.hata aibu huna eti ameambiwa .hilo tosha.
Rejea swali la waandishi wa habari aliloulizwa Nyerere pale Kenyatta International Airport na jibu lake alilotoa"ukiambiwa,ukielezwa, nililala na mama yako ukazaliwa utakubali bila kuhoji chochote?
Hatuwenzi endesha nchi kwa kuambiwa tu,ndio maana tumefika hapa.
 
Hilo gumzo la maskani , si JF.
Na wewe unajua Rais anaambiwa nini, kwa vipi, na wapi, na anaambiwa na nani?
Nyie watu wa uchochoroni taabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…