Kumbe chadema imechuja kiasi hiki kigoma.

Kumbe chadema imechuja kiasi hiki kigoma.

Atongwele

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
2,470
Reaction score
106
Wakuu diwani wa chadema aliyekuwa anagombea nafasi ya uenyekiti wa halmashauri moja huko kigoma amepata kura tatu tu,hii ikanifanya niamini kuwa kweli chadema imechuja sana kigoma,make wapiga kura walikuwa 17 mh diwani wa chadema kaambulia tatu tu.
 
Wakuu mwanzo nilijua chadema wanangome imara kigoma kumbe ni kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji.
 
Chadema zao ni mandamano na matukio zaidi lakini kwenye kusaidia jamii na watu kwa ujumla sifuli.
 
Vijana wa ccm nia aibu nyingine kwa taifa wanaakili ndogo kama za kuku.....embu angalia wanacho kifanya kwenye hii thread....ni UTOTO mkubwa wenyewe wanaona wanaisadia CCM kumbe WANAIABISHA wanafanya chama kinaonekana chama cha WAJINGA NA MAZUZU...ningekuwa NAPE ninewakataza ujinga kama huu..
 
Thread za namna hii nimezoea kusoma Face book kutoka kwa gaidi Mwigulu, naona zinahamia JF sasa
 
uchaguzi ulikuwa na madaniwani wangapi wa c.c.m na wangapi wa chadema..?ukipata jibu kachukue buku 7 yako.
 
CCM wanakusaidia nini? Elimu mnapata bure? Huduma za afya je? Unataka Chadema wakupe nini? Au mavazi? Inaonekana umezoea tisheti, kofia na kanga za bure. Chadema hatutoi hongo.
 
Ha ha CCM baada ya kugaragazwa na wana mapinduzi mumetumia milioni mia moja kubaka demokrasia Star TV wameonyesha mkurugenzi,Mwanasheria wa KIbondo na Kaborou wote wakisema uchaguzi utarudiwa baada ya siku 60 leo unakuja hapa na propaganda mumechacha kweli pamoja na kuletwa taarifa hapa JF ya Nape kuhongwa milioni tano kulazimisha mtu ambaye hakupendwa husemi tukuulize yule aliyesimama kwa jina la Nape kashinda kura ngapi ,wapuuzi sana nyie Lumumba book 7 jazz band, CCM ina madiwani 14 chadema 7 NCCR 3 , mumeitisha uchaguzi usiku bila mkurugenzi wala mwanasheria majambazi makubwa nyie, mtu muliyempachika yeye ndie anatangaza siku zenu zinahesabika ngojeni moto wa kibondo kwa uhuni wenu
 
Wanaweweseka na 4-0 za arusha mmeamua kujifariji na vitu ambavyo havipo huko kogoma
Sio hivyo tuu pia wanaongopa kama walivyozoea Raisi muongo waziri mkuu muongo secretariat ya CCM waongo jana ITV,channel ten,Star TV wote walionyesha mtafaruku wa KIbondo kuna mwana JF naye alikuja hapa akatoa ushahidi huyo mfanya biashara alivyomuhonga Nape million tano Nape akalazimisha madiwani wakabwaga, uchaguzi uakahirishwa mpaka siku sitini kama kawaida yao na ujambazi wa kubaka demokrasia wamelazimisha mambo wamebadili kila kitu watu waliosimama kwenye uchaguzi hata kwa upande wa chadema hakuwa yule mwanamke
 
Uncle deo is another I'd new ya ....

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom