Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
unamwambia nani? UtajijuAloo mimi nimesoma kiasi tu,nikianzia kisosora tanga(RC) nikapitia Jumuia pale mkabala na standya mabasi nikaelekea duga shule ya tapa palikuwa na mbuyu barabarani(umeanguka) kutoka hapo nikasoma Murutunguru kule Nansio Ukerewe ,nikamalizia chuo cha ufundi civil eng somewhere undislosed location.Sina taarifa za ukoo nimezaliwa peke yangu wazazi wangu wawili walifariki katika ajali ya basi sekenke.
Kama unaona kichefuchefu nakushauri ukatapike katika choo cha magamba.
inasaidia nini kilo ya sukari sh 3000 kwa wasomi wako wezi wa ccm
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Jasusi;
Choo chetu kimeanza kuwa kisafi; mshauri akatapikie TLP, NCCR au CUF
Nani amekisafisha choo chenu..? Na huko TLP, NCCR & CUF nani amepachafua.
hakuna uongozi
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Kweli wewe ni mwiba kwa chadema.
Utajiju.Acha ushabiki soma alichoandika kabla yako huyo mwiba-fisadi.Huku elimu huku haina viongozi,lipi ni lipi?
huyu (kwenye RED) si msomi ni Muuaji, Mzinzi na ni type ya watu watakaoipeleka Tanzania kwenye machafuko ikifikapo mnamo 2012. Wekeni maneno yangu watu wa type ya Mwinchemba ni wengi sana kwenye hii nchi.Kuna topic inajadiliwa humu ya kuwa chdema haina wasomi wa kuunda serikali ikiwa itapewa ridhaa ya kuongoza nchi.swali langu rahisi ni kwamba hawa wanaojiita wasomi wa ccm wameisaidia vp nchi hii?je kuna haja ya kuwa na wasomi ktk siasa?
1.dr Kikwete 2.E.Lowasa
3.A.chenge 4.M.Nchemba 5.D.Balali
6.B.Mramba
7.D.Yona
8.O.Nundu
9.E.Maige et al
Naamini wakichukua nchi ndo utajua walivyo na wasomi wengi ambao kwa sasa wanaoperati chini ya kapeti. Wapeni nchi muone. Yangu macho.Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
huyu (kwenye RED) si msomi ni Muuaji, Mzinzi na ni type ya watu watakaoipeleka Tanzania kwenye machafuko ikifikapo mnamo 2015. Wekeni maneno yangu watu wa type ya Mwinchemba ni wengi sana kwenye hii nchi.Kuna topic inajadiliwa humu ya kuwa chdema haina wasomi wa kuunda serikali ikiwa itapewa ridhaa ya kuongoza nchi.swali langu rahisi ni kwamba hawa wanaojiita wasomi wa ccm wameisaidia vp nchi hii?je kuna haja ya kuwa na wasomi ktk siasa?
1.dr Kikwete 2.E.Lowasa
3.A.chenge 4.M.Nchemba 5.D.Balali
6.B.Mramba
7.D.Yona
8.O.Nundu
9.E.Maige et al
Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.
Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
Hakuna cha kuogopa. Msukumo wetu kwa sasa si nani atakayeshika nafasi gani. Msukumo wetu ni vipi tunaweza kuikomboa Tanzania kutoka hili limbwi la ufisadi, uuzaji kiholela wa maliasili zetu na kuwarejeshea Watanzania matumaini katika nchi yao wenyewe. Hapo ndipo tunapoelekeza nguvu zetu.