duuuuh mkuu umenikumbusha mbaaali, miaka 1978, hapo karibu kuna geti la tanesco miaka hiyo, kulikuwa na (mbaula) lori la fiat likiitwa moreta likitusafirisha kutoka damsite hadi mkamba, maisha yalikuwa mswano mnooooo.
Tatizo ni iyo rangi au aliyelifungua.
Kama ni rangi kumbuka ni maeneo ya hifadhi hayo so greenish ndo rangi ya kupaka.
Ndo maana ata magari ya kitalii yana rangi izo ambazo ni friendly kwa wanyama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.