Wana JF
Leo nilipata nafasi kupitia ofisi ya CCM nikawakuta wanachama wakijadili mabadiliko yaliofanywa na CCM kwenye uongozi wake. Wengi waliokuwa wanachangia walikuwa wanamtaja Slaa kama chanzo cha mageuzi yale. Sikutegeme kumsikia mwana CCM akisema Slaa ni kiboko wa kujenga hoja akaongezea kuwa kwa sasa hapa nchini hakuna anayemfikia. Mmoja akaongezea akasema tena ukifanya kosa ukamsikiliza utamshangilia kwa hoja zake hata kama humpendi. Mwingine akaongezea yule bwana alivyojaliwa akili baada ya matokeo ya uchaguzi ili kuepusha ghasia akajifanya kama yuko bize akiandaa tamko ili kupunguza munkari vijana waliokuwanayo. Nimeamini Dr Slaa ni tishio.
Leo nilipata nafasi kupitia ofisi ya CCM nikawakuta wanachama wakijadili mabadiliko yaliofanywa na CCM kwenye uongozi wake. Wengi waliokuwa wanachangia walikuwa wanamtaja Slaa kama chanzo cha mageuzi yale. Sikutegeme kumsikia mwana CCM akisema Slaa ni kiboko wa kujenga hoja akaongezea kuwa kwa sasa hapa nchini hakuna anayemfikia. Mmoja akaongezea akasema tena ukifanya kosa ukamsikiliza utamshangilia kwa hoja zake hata kama humpendi. Mwingine akaongezea yule bwana alivyojaliwa akili baada ya matokeo ya uchaguzi ili kuepusha ghasia akajifanya kama yuko bize akiandaa tamko ili kupunguza munkari vijana waliokuwanayo. Nimeamini Dr Slaa ni tishio.