chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,333
Wakuu najuwa tu, huenda baadhi yetu mkaona uzi huu hapa nimeuvuta kiushabiki, la hasha! ila ni kwa kuzingatia usalama wa wachezaji na viongozi wa yanga, kutokana na jinsi Gari za kichina zinavokosolewa kwa usalama wake mdoga, haswa Mabasi haya ya YUTONG yanatabia ya ubovu wa kuwaka moto. Tahadhari ni njema kabla ya hatari.