Kumbe Amina na Kikwete wametoka mbali

Kumbe Amina na Kikwete wametoka mbali

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Sie tulijua ni Bernard Membe pekee ana mahusiano na Jakaya Kikwete kumbe hata Amina naye wana mahusiano ya karibu.

attachment.php
 
Kikwete alidhamiria na still kadhamilia kuweka kibaraka wake magogoni!!!
 
Kumbe ushungi zuga tu!
Ni mabadiliko ya kiutamaduni. Miaka ya 1970 hadi 1980 wanawake wa Kizenj waliokuwa wamesoma au kuonja usasa wa enzi hizo walikuwa wakivaa kama wanawake wa Kibara! Ni katika miaka ya kuanzia 1990 wakati wa upepo wa mageuzi ya kisiasa na kiuchumi napo mageuzi ya kiutamaduni (hususan kuhusu mavazi ya wanawake) ukaikumba Zenj. Kwa hivyo Mhe Bi Amina katika picha hiyo alikuwa amevaa mavazi yaliyokuwa yakikubalika.
 
Kwa hiyo mtu akija na picha aliyopiga na bwana Magufuli back then wakiwa wote ni watumishi wa Nyanza Cooperative Union tuseme huyo mtu atakuwa na "mahusiano ya karibu" na bwana Magufuli? Nonsensical!!!!
 
Halafu MaCCM yalivyo na akili fupi sana yanamwona JK mjanja sana...

Wakati Magufuli aliwekwa kama reserve ishu ikibumbuluka iwe ilivyokuwa...

Lakini wote alioingia na majina yao mfukoni mwake ni misukule yake...

Ila kwa kuwa MiCCM ndivyo ilivyo inamwona jamaa bonge la mjanja
 
I thank God for magufuli. Naamini ni maombi ya watu wa Mungu yamejibiwa. Hila nyingi zilikuwepo
 
Kwa hiyo mtu akija na picha aliyopiga na bwana Magufuli back then wakiwa wote ni watumishi wa Nyanza Cooperative Union tuseme huyo mtu atakuwa na "mahusiano ya karibu" na bwana Magufuli? Nonsensical!!!!
Mkulu anajulikana bhana. Ingekuwa picha ya ben watu wasinge sema kitu
 
Halafu MaCCM yalivyo na akili fupi sana yanamwona JK mjanja sana...

Wakati Magufuli aliwekwa kama reserve ishu ikibumbuluka iwe ilivyokuwa...

Lakini wote alioingia na majina yao mfukoni mwake ni misukule yake...

Ila kwa kuwa MiCCM ndivyo ilivyo inamwona jamaa bonge la mjanja

Tuwe wakweli hivi wewe ukiwa rais na muda wako wa uongozi unaenda ukingoni hutakuwa na ushawishi kwamba nan unaamin atarithi mikoba yako na kuendeleza Yale unayoyaoona mazur.fahamu Nyerere alipendelea Mwinyi awe raid sababu tu aliwajibika pindi akiwa WAZIR wa mambo ya ndani,Mkapa alimpgia kampen ya waz Jk Kafka mkutano mkuu aliposema wanataka rais kijana na jk kwa muda ule ndo alikuwa kijana so hata mbowe akibahatika he will do the same.kuhusu picha c tatizo hats kabla zilitupiwa picha hapa za jk akiwa na lowasa mkadai wametoka mbali alipopigwa chin mkasema alimkumbatia member tatizo mnaongozwa kwa hisia
 
Halafu MaCCM yalivyo na akili fupi sana yanamwona JK mjanja sana...

Wakati Magufuli aliwekwa kama reserve ishu ikibumbuluka iwe ilivyokuwa...

Lakini wote alioingia na majina yao mfukoni mwake ni misukule yake...

Ila kwa kuwa MiCCM ndivyo ilivyo inamwona jamaa bonge la mjanja

Tuwe wakweli hivi wewe ukiwa rais na muda wako wa uongozi unaenda ukingoni hutakuwa na ushawishi kwamba nam unaamin atarithi mikoba yako?
 
Tuwe wakweli hivi wewe ukiwa rais na muda wako wa uongozi unaenda ukingoni hutakuwa na ushawishi kwamba nan unaamin atarithi mikoba yako na kuendeleza Yale unayoyaoona mazur.fahamu Nyerere alipendelea Mwinyi awe raid sababu tu aliwajibika pindi akiwa WAZIR wa mambo ya ndani,Mkapa alimpgia kampen ya waz Jk Kafka mkutano mkuu aliposema wanataka rais kijana na jk kwa muda ule ndo alikuwa kijana so
hata mbowe akibahatika he will do the same.kuhusu picha c tatizo hats kabla zilitupiwa picha hapa za jk akiwa na lowasa mkadai wametoka mbali alipopigwa chin mkasema alimkumbatia member tatizo mnaongozwa kwa hisia

kwake nahis in tofauti sana mkuu! yeye alitaka kumuweka mtu ambaye ataendelea kumtawala na kumlinda baada ya muda wake! Tuwe wakweli J.K hakuwa na mpango na maendeleo ya Watanzania. Mimi namuona alikuwa bize na mambo yake mwenyewe! sioni kama alikuwa na ajenda ya kuiendeleza nchi na wananchi wake.
 
Tuwe wakweli hivi wewe ukiwa rais na muda wako wa uongozi unaenda ukingoni hutakuwa na ushawishi kwamba nan unaamin atarithi mikoba yako na kuendeleza Yale unayoyaoona mazur.fahamu Nyerere alipendelea Mwinyi awe raid sababu tu aliwajibika pindi akiwa WAZIR wa mambo ya ndani,Mkapa alimpgia kampen ya waz Jk Kafka mkutano mkuu aliposema wanataka rais kijana na jk kwa muda ule ndo alikuwa kijana so hata mbowe akibahatika he will do the same.kuhusu picha c tatizo hats kabla zilitupiwa picha hapa za jk akiwa na lowasa mkadai wametoka mbali alipopigwa chin mkasema alimkumbatia member tatizo mnaongozwa kwa hisia

Kwa mujibu wa kiongozi wako wa Baraza la Wazazi wa CCm Taifa ni kwamba Lowassa na Membe wanalingana umri...

Sina hakika lakini kwa mantiki hiyo inawezekana hata JK anamzidi Lowasa umri, sasa katika kipidi ulichotaja nani alikuwa kijana kama huyo mwenyekiti wa wazazi alikuwa hadanganyi?
 
Back
Top Bottom