Kumbadiri rafiki kuwa mpenzi wako.

Kumbadiri rafiki kuwa mpenzi wako.

Mfarisayomtata

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
474
Reaction score
188
Hivi wadau ni namna gani unaweza kumbadiri rafiki yako wa kike awe mpenzi wako??
 
umeshabugi men!!! hutakiwi kuwa rafiki na demu kama wamtaka maana atakuchukulia kama kaka....la msingi ni kufika kwenye point toka mwanzo kuwa wamtaka kimapenzi
 
itategemea na ni rafiki gani
but rafiki kama rafiki ni ngumu kweli kweli
ushaharibu
 
Jembe komaa nae huyo mwanamke tu panga hotuba inayoeweka kisha mfate naamini ataingia mkenge tu
 
mi mwnyewe inanipa tabu kweli nina best wangu japo sio kitambo viiiiile lakini nampenda kinoma awe GF wangu sema sasa niliishaharibu ni marafiki
 
Ushaingia kwenye ZOMBIII ZONE!!! Ni wachache wana make it back to the sexual relation ship zone. It might be a bi hard but its POSSIBLE!!!

La mbolea kwanza hapo ni kutoka kwenye UZOMBIII na kurudi NEAUTRAL POINT. Kivipi? Hapo inatakiwa mtu mzima utoe ALTIMATUM kuwa kama UNAONEKANA HUDESERVE KUPEWA KIDUDE! BAAAAAASSS! BORA UANZE MBELE KWA MBELE NA SIO KUWA SECOND BEST!!! Baada ya kuchimba huo mkwara mzito, unaacha upuuzi wako wa kuwa rafiki mnafiki, Unakuwa NEUTRAL kama hamjuani vile.

UKIWA ON NEUTRAL POINT, UNADVANCE TO TAKE OVER!!! Hapo sasa unachukua new totoz na kuctandika bakora shosti friends kumuonesha WHAT AN OPPORTUNITY SHE PASSED!!! (Smts wanawake wanamuona mwanaume wa maana zaidi akiwa anamilikiwa na mwanamke mwingine!!!) Hapo utaona SMS za kizushi, kukusalimia na nini! BAAAAAAAAASS! Unamita unamwambia IF SHE STILL WANTS NAFASI YA UPENZI KWAKO BADO IPO!!! GAME OVER!!!!
 
Rafiki yako ashindwi kuwa mpz wako,inategemea unataka nn maana urafiki nikuckiliza na kusaidia ktk namna moja au nyingne.alafu suala la mpz c kujua kutongoza 2 na unaye mtongoza akupende labda wale wa uza samaki aina ya papaa ndio awatongozwi,muueleze hisia zako akikataaa mnaendelea kuwa marafiki ila juwa mapz yanawahi kuisha kuliko urafiki
 
Lara1, we ni noma, ila kuna zile unaweza ukakuta umempeperusha hivihivi dadadeki.
 
Lara1, we ni noma, ila kuna zile unaweza ukakuta umempeperusha hivihivi dadadeki.
Bora ukisanue tuuu! Ila atakuheshimu kuwa YOU STOOD UP FOR YOUR SELF!!! We unadhani hajui kama unampenda? Anakuchora tuuu! Ila ukimpa altimatum atakupenda zaidi!! Trust Me, Girls wana penda guys that can stand up on them!!! Ila ukiwa ZOMBIII, anakuchora tu na anajua huna ujanja wa kujikwamua!
 
Amoung all I dated all of them were and are still friends of me

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mbona hiyo ni rahisi sana tena huo ni mkakati mzuri sana, kwanini umtongoze msichana....kutongoza kazi sana....mara ukunje sura, utoke kijasho kidogo kwapani yote hiyo ya nini?......Anza kumtoa out halafu uwe unacheki reaction yake....mtoe out sehemu ambazo siko private (halafu check reaction yake), mtoe out usiku halafu kaa naye karibu sana uwe unamgusagusa (cheki reaction yake), muulize swali kuwa unataka kupata mchumba akusaidie ku mu assess (ukiona yuko hasi) ujue yeye pia anakupenda, ukitoka naye usiku hivi uwe unamgusa gusa (check reaction yake). Mwambie wiki ijayo utaenda zanzibar kwa siku mbili, mwambie uende naye kama atapenda (check reaction yake)................. ukiona yuko chanya sehemu nyingine, basi siku moja mchukue mwambie wiki ijayo nitakupeleka sehemu moja hivi................. atakuuliza wapi? kufanya nini? wewe utasema aah nitakwambia baadaye usiwe na wasiwasi, na kila siku nitakuwa nakukumbusha kuhusu hiyo outing, basi siku ikifika ukiona yupo tayari kwa hiyo outing wewe mpeleke straight unakotaka.....though njiani atakusumbua sana na maswali akijifanya hataki kwenda asikokujua na hajui nia yako.TUMIA MOJAWAPO AU MBINU ZOTE UTABAINI KAMA UTAMPATA AU UENDELEE KUMUITA DADA
 
Ushaingia kwenye ZOMBIII ZONE!!! Ni wachache wana make it back to the sexual relation ship zone. It might be a bi hard but its POSSIBLE!!!

La mbolea kwanza hapo ni kutoka kwenye UZOMBIII na kurudi NEAUTRAL POINT. Kivipi? Hapo inatakiwa mtu mzima utoe ALTIMATUM kuwa kama UNAONEKANA HUDESERVE KUPEWA KIDUDE! BAAAAAASSS! BORA UANZE MBELE KWA MBELE NA SIO KUWA SECOND BEST!!! Baada ya kuchimba huo mkwara mzito, unaacha upuuzi wako wa kuwa rafiki mnafiki, Unakuwa NEUTRAL kama hamjuani vile.

UKIWA ON NEUTRAL POINT, UNADVANCE TO TAKE OVER!!! Hapo sasa unachukua new totoz na kuctandika bakora shosti friends kumuonesha WHAT AN OPPORTUNITY SHE PASSED!!! (Smts wanawake wanamuona mwanaume wa maana zaidi akiwa anamilikiwa na mwanamke mwingine!!!) Hapo utaona SMS za kizushi, kukusalimia na nini! BAAAAAAAAASS! Unamita unamwambia IF SHE STILL WANTS NAFASI YA UPENZI KWAKO BADO IPO!!! GAME OVER!!!!

Nimekuvulia kofia LARA
 
Last edited by a moderator:
mambie twende tukafanya matusi wewe utaona reaction yakew
 
Ushaingia kwenye ZOMBIII ZONE!!! Ni wachache wana make it back to the sexual relation ship zone. It might be a bi hard but its POSSIBLE!!!

La mbolea kwanza hapo ni kutoka kwenye UZOMBIII na kurudi NEAUTRAL POINT. Kivipi? Hapo inatakiwa mtu mzima utoe ALTIMATUM kuwa kama UNAONEKANA HUDESERVE KUPEWA KIDUDE! BAAAAAASSS! BORA UANZE MBELE KWA MBELE NA SIO KUWA SECOND BEST!!! Baada ya kuchimba huo mkwara mzito, unaacha upuuzi wako wa kuwa rafiki mnafiki, Unakuwa NEUTRAL kama hamjuani vile.

UKIWA ON NEUTRAL POINT, UNADVANCE TO TAKE OVER!!! Hapo sasa unachukua new totoz na kuctandika bakora shosti friends kumuonesha WHAT AN OPPORTUNITY SHE PASSED!!! (Smts wanawake wanamuona mwanaume wa maana zaidi akiwa anamilikiwa na mwanamke mwingine!!!) Hapo utaona SMS za kizushi, kukusalimia na nini! BAAAAAAAAASS! Unamita unamwambia IF SHE STILL WANTS NAFASI YA UPENZI KWAKO BADO IPO!!! GAME OVER!!!!

duh yan mkuu nimechungulia tu nikakutana na huu uzi, kuingia ndan nakuta hili li ushauri, hahahaaa, nakumbuka nilshawah kutumia njia hii ikanisaidia. But inamuhtaj mtu mjanja kama boyaboya itakushnda.
 
Mbona hiyo ni rahisi sana tena huo ni mkakati mzuri sana, kwanini umtongoze msichana....kutongoza kazi sana....mara ukunje sura, utoke kijasho kidogo kwapani yote hiyo ya nini?......Anza kumtoa out halafu uwe unacheki reaction yake....mtoe out sehemu ambazo siko private (halafu check reaction yake), mtoe out usiku halafu kaa naye karibu sana uwe unamgusagusa (cheki reaction yake), muulize swali kuwa unataka kupata mchumba akusaidie ku mu assess (ukiona yuko hasi) ujue yeye pia anakupenda, ukitoka naye usiku hivi uwe unamgusa gusa (check reaction yake). Mwambie wiki ijayo utaenda zanzibar kwa siku mbili, mwambie uende naye kama atapenda (check reaction yake)................. ukiona yuko chanya sehemu nyingine, basi siku moja mchukue mwambie wiki ijayo nitakupeleka sehemu moja hivi................. atakuuliza wapi? kufanya nini? wewe utasema aah nitakwambia baadaye usiwe na wasiwasi, na kila siku nitakuwa nakukumbusha kuhusu hiyo outing, basi siku ikifika ukiona yupo tayari kwa hiyo outing wewe mpeleke straight unakotaka.....though njiani atakusumbua sana na maswali akijifanya hataki kwenda asikokujua na hajui nia yako.TUMIA MOJAWAPO AU MBINU ZOTE UTABAINI KAMA UTAMPATA AU UENDELEE KUMUITA DADA

mkuu we professional.
 
Back
Top Bottom