Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Hivi wadau ni namna gani unaweza kumbadiri rafiki yako wa kike awe mpenzi wako??
itategemea na ni rafiki gani
but rafiki kama rafiki ni ngumu kweli kweli
ushaharibu
Hakuna ugumu rafiki yako ndio anaweza kukusaidia shida zako,na hyooo uliyo nayo nishida mwambie akusaidie kila kukicha ajuwe upo seriousKwa hiyo ni bora nife kifo cha Muwa na utamu wangu??
Bora ukisanue tuuu! Ila atakuheshimu kuwa YOU STOOD UP FOR YOUR SELF!!! We unadhani hajui kama unampenda? Anakuchora tuuu! Ila ukimpa altimatum atakupenda zaidi!! Trust Me, Girls wana penda guys that can stand up on them!!! Ila ukiwa ZOMBIII, anakuchora tu na anajua huna ujanja wa kujikwamua!Lara1, we ni noma, ila kuna zile unaweza ukakuta umempeperusha hivihivi dadadeki.
inategemeana na urafiki wenu uko vipi, lkn inawezekana kabisa kama utamuonyesha kwa dhati kwamba mahusiano unayoenda kuanzisha yana nia safi.Hivi wadau ni namna gani unaweza kumbadiri rafiki yako wa kike awe mpenzi wako??
Ushaingia kwenye ZOMBIII ZONE!!! Ni wachache wana make it back to the sexual relation ship zone. It might be a bi hard but its POSSIBLE!!!
La mbolea kwanza hapo ni kutoka kwenye UZOMBIII na kurudi NEAUTRAL POINT. Kivipi? Hapo inatakiwa mtu mzima utoe ALTIMATUM kuwa kama UNAONEKANA HUDESERVE KUPEWA KIDUDE! BAAAAAASSS! BORA UANZE MBELE KWA MBELE NA SIO KUWA SECOND BEST!!! Baada ya kuchimba huo mkwara mzito, unaacha upuuzi wako wa kuwa rafiki mnafiki, Unakuwa NEUTRAL kama hamjuani vile.
UKIWA ON NEUTRAL POINT, UNADVANCE TO TAKE OVER!!! Hapo sasa unachukua new totoz na kuctandika bakora shosti friends kumuonesha WHAT AN OPPORTUNITY SHE PASSED!!! (Smts wanawake wanamuona mwanaume wa maana zaidi akiwa anamilikiwa na mwanamke mwingine!!!) Hapo utaona SMS za kizushi, kukusalimia na nini! BAAAAAAAAASS! Unamita unamwambia IF SHE STILL WANTS NAFASI YA UPENZI KWAKO BADO IPO!!! GAME OVER!!!!
Ushaingia kwenye ZOMBIII ZONE!!! Ni wachache wana make it back to the sexual relation ship zone. It might be a bi hard but its POSSIBLE!!!
La mbolea kwanza hapo ni kutoka kwenye UZOMBIII na kurudi NEAUTRAL POINT. Kivipi? Hapo inatakiwa mtu mzima utoe ALTIMATUM kuwa kama UNAONEKANA HUDESERVE KUPEWA KIDUDE! BAAAAAASSS! BORA UANZE MBELE KWA MBELE NA SIO KUWA SECOND BEST!!! Baada ya kuchimba huo mkwara mzito, unaacha upuuzi wako wa kuwa rafiki mnafiki, Unakuwa NEUTRAL kama hamjuani vile.
UKIWA ON NEUTRAL POINT, UNADVANCE TO TAKE OVER!!! Hapo sasa unachukua new totoz na kuctandika bakora shosti friends kumuonesha WHAT AN OPPORTUNITY SHE PASSED!!! (Smts wanawake wanamuona mwanaume wa maana zaidi akiwa anamilikiwa na mwanamke mwingine!!!) Hapo utaona SMS za kizushi, kukusalimia na nini! BAAAAAAAAASS! Unamita unamwambia IF SHE STILL WANTS NAFASI YA UPENZI KWAKO BADO IPO!!! GAME OVER!!!!
Mbona hiyo ni rahisi sana tena huo ni mkakati mzuri sana, kwanini umtongoze msichana....kutongoza kazi sana....mara ukunje sura, utoke kijasho kidogo kwapani yote hiyo ya nini?......Anza kumtoa out halafu uwe unacheki reaction yake....mtoe out sehemu ambazo siko private (halafu check reaction yake), mtoe out usiku halafu kaa naye karibu sana uwe unamgusagusa (cheki reaction yake), muulize swali kuwa unataka kupata mchumba akusaidie ku mu assess (ukiona yuko hasi) ujue yeye pia anakupenda, ukitoka naye usiku hivi uwe unamgusa gusa (check reaction yake). Mwambie wiki ijayo utaenda zanzibar kwa siku mbili, mwambie uende naye kama atapenda (check reaction yake)................. ukiona yuko chanya sehemu nyingine, basi siku moja mchukue mwambie wiki ijayo nitakupeleka sehemu moja hivi................. atakuuliza wapi? kufanya nini? wewe utasema aah nitakwambia baadaye usiwe na wasiwasi, na kila siku nitakuwa nakukumbusha kuhusu hiyo outing, basi siku ikifika ukiona yupo tayari kwa hiyo outing wewe mpeleke straight unakotaka.....though njiani atakusumbua sana na maswali akijifanya hataki kwenda asikokujua na hajui nia yako.TUMIA MOJAWAPO AU MBINU ZOTE UTABAINI KAMA UTAMPATA AU UENDELEE KUMUITA DADA