Kulipia motor vehicle kwa njia ya m-pesa/max malipo

kateka

JF-Expert Member
Nov 30, 2012
547
320
Nipo mbali na office za TRA nimeona ni vizuri nikafanya malipo kwa njia ya m pesa kupitia option ya REGISTER T....DTU kwenda 15341, lakini kila nikituma sms kwenda namba hiyo sipati reference number ili niweze kufanya malipo, je huduma hii imesitishwa kwa sasa? naomba msaada kwa yeyote mwenye taarifa, maana TRA nimewapigia kupitia namba zao walizoweka kwenye website yao hazipatikani.
 
Nipo mbali na office za TRA nimeona ni vizuri nikafanya malipo kwa njia ya m pesa kupitia option ya REGISTER T....DTU kwenda 15341, lakini kila nikituma sms kwenda namba hiyo sipati reference number ili niweze kufanya malipo, je huduma hii imesitishwa kwa sasa? naomba msaada kwa yeyote mwenye taarifa, maana TRA nimewapigia kupitia namba zao walizoweka kwenye website yao hazipatikani.
Weka vocha, sms moja unakatwa Tsh 250
 
Uko mkoa gani mimi ni wakala wa maxmalipo unalipia motovehicle yako na kadi ya tra unakuja kuchukua dukani
 
Hata mm leo limenikatalia nikaenda max malipo nikalipa
unaweza mtuma umwaminie pesa yako akakukatia kupitia max malipo
 
Back
Top Bottom