Kulikuwa na haja kwa kampuni ya BP kuwa na kitengo cha Risk & Compliance Mgt

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Kulitakiwa kuwe na kitengo cha risk and compliance mgt ambacho ni fully fledged, ambacho ni independent. Kisiwe part ya internal audit.<br />
Leo hii wasingepewa adhabu ya miezi mitatu, kwa kuwa risk ile ya non-compliance ingekuwa handled professionally na EWURA huenda wangewajibishwa ipasavyo.<br />
Hii ni funzo kwa baadhi ya kampuni kubwa zinazo operate nchini bila kuwa na kitengo cha risk and compliance ambacho ni independent.<br />
Kampuni nyingi zime rely kwenye intrnal audit and legal unit na kuthani kila kitu kipo ok.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…