Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Kumekuwa na kukatika sana kwa umeme huku kwetu bila taarifa yo yote. Hali hii imeanza tu baada Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO kutumbuliwa na kufuatiwa na wakurugenzi kadhaa wa shirika hilo.
Je, kuna uhusiano wo wote wa tumbua hii na kukatika katika kwa umeme?
Je, wamekusudia kulipiza kisasi au nini hasa?
Je, kuna uhusiano wo wote wa tumbua hii na kukatika katika kwa umeme?
Je, wamekusudia kulipiza kisasi au nini hasa?