sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,501
- 2,934
Kama kichwa iluvyojieleza
Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa
Sukuma gang mna chuki sanaSisi Wasukuma ukila hutakiwi kupiga miluzi au kelele. #AsaliTamu
Umelogwa halafu umekufa, ila hujazikwa.Kama kichwa iluvyojieleza
Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa
Mbaya zaid mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hari imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa
Lisu na mbowe? Amani kweli ipo
Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.
Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.
Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Bila shaka wewe ni team Lisu umetumwa kuja kupima upepo wa mwenyekiti wa chama. Ila haina haja ya kuongea na wakati picha zinajieleza
Sisi Wasukuma ukila hutakiwi kupiga miluzi au kelele. #AsaliTamu
Umetokea sayari gani?Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.
Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.
Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Wakati mbowr Mashamba yake yanahatibiwa wewe na Ukoo wenu mli toka wazi na kupinga ule uhuni?Sisi Wasukuma ukila hutakiwi kupiga miluzi au kelele. #AsaliTamu
Upo wapi wewe? Ghamboshi?Kama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.
Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.
Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Tupo naye tunabugia asalı tulieni hukoKama kichwa kinavyojieleza. Mbowe kwa sasa amekuwa kimya na hata akijaribu kufanya kitu au kuongea hasikiki wala kutrend kabisa.
Mbaya zaidi mikutano yake watu hawajitokezi kabisa hali imepelekea kutumia helicopter walau watu wakaizunguke kuishangaa.
Lissu na Mbowe? Amani kweli ipo
Endelea kujifariji kama mlivyojifariji wakati wa tetesi za Lowassa kuhamia Chadema enzi zile alipokatwa CCM 😂😂😂Hakuna Cha Timu Lissu Wala Mbowe, CHADEMA ni moja.