Jambo la kushangaza na halina ufafanuzi mpaka sasa ni kuona watumishi kwa mishahara ya mwaka huu wa fedha hakukuwa na annual increment vilevile kuna waliokuwa wapepandishwa madalaja na wamepewa barua kabisa lakini hadi leo hawajapewa mishahara yao mipya kwakweli hii sio haki kabisa kwa sababu tunapambana na rushwa na kuwataka wafanyakazi hasa wa serikali kufanya kazi kwa bidii lakini haki zao zimezikwa kwa kisingizio cha kuhakiki mimi nashangaa sana jambo hili unawezaje kusimamisha haki za watumishi kwa kipindi chote hiki bila huruma kwa kisingizio cha kuhakiki kwakweli hii ni kukosa ofu ya mungu.
Wapo wengine walipandishwa vyeo na wakawa wameanza kulipwa mishahara ya vyeo vipya cha kushangaza baada ya zoezi la kuhakiki mishahara yao imekatwa na kurudishwa kwenye scale ya zamani jamani hii sio haki wala ubinadamu hata kidogo, mimi binafsi siamini kama Mh.JPM anayo taarifa pengine hawa maafisa utumishi wanakurupuka na kufanya mambo yasio faa maana ukiwauliza wanasema bwanamkubwa kasema kwakweli hiki kimekuwa kipindi kigumu kwa watumishi wa Umma hee mungu tusaidie.
Wapo wengine walipandishwa vyeo na wakawa wameanza kulipwa mishahara ya vyeo vipya cha kushangaza baada ya zoezi la kuhakiki mishahara yao imekatwa na kurudishwa kwenye scale ya zamani jamani hii sio haki wala ubinadamu hata kidogo, mimi binafsi siamini kama Mh.JPM anayo taarifa pengine hawa maafisa utumishi wanakurupuka na kufanya mambo yasio faa maana ukiwauliza wanasema bwanamkubwa kasema kwakweli hiki kimekuwa kipindi kigumu kwa watumishi wa Umma hee mungu tusaidie.