911
Platinum Member
- Aug 22, 2008
- 852
- 499
Wahuni hao CCM, wanataka kutuundia Tume Huru kama ile ya Jecha Zanzibar....!!
Wahuni hao CCM, wanataka kutuundia Tume Huru kama ile ya Jecha Zanzibar....!!
AmenAcha wachukue kwa hisani, lakini umma wa walio wengi unajitambua. Isitoshe CDM hawashindani na ACT, bali tunataka chaguzi za haki anayeshinda ashinde kwa ridhaa ya umma. Cha muhimu ni CDM kusema wazi wazi kuwa hawatashiriki uchaguzi ambao tume ya uchaguzi sio huru. Hiyo peke yake inatosha kushusha idadi kubwa sana ya wapiga Kura. Na hata wao wakishinda huku umma ukiwa haujajitokeza kupiga kura, lazima wapoteane.