Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Sahivi bado najiuliza maswali lakini sipati jibu, uchaguzi wa 2015 Jaji Lubuva alisema tume ni huru na haiingiliwi na mtu .
Mwaka Jana Kina Mahela na Jaji Kaijage waliuaminisha umma kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki na tume ni huru.
Mwenyekiti wa tume iliyoundwa na Jaji Mtungi, professor Mkandara alisema uchaguzi ulikuwa huru na haki, Sasa sahivi wanapata wapi keherehere Cha kutaka tume huru ya uchaguzi?
Je kukiwa na tume huru, uku Raisi anacontrol Polisi,Tiss, Tamisemi na matokeo ya uraisi hayawezi pingwa popote je Kuna umuhimu wa kuwa na tume huru.
Chadema ni giant political party, kususia huo mchakato, nini hatima ya hiyo tume,, je vyama vya makaratasi na maflash kuwa wajumbe wa hiyo tume, kutawafanya watanzania wawe na Imani na iyo tume? CCM kipi kinawafanya mbadilishe tume Leo wakati kila siku mnasema tume ya Sasa ni huru .
Karibu
Mwaka Jana Kina Mahela na Jaji Kaijage waliuaminisha umma kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki na tume ni huru.
Mwenyekiti wa tume iliyoundwa na Jaji Mtungi, professor Mkandara alisema uchaguzi ulikuwa huru na haki, Sasa sahivi wanapata wapi keherehere Cha kutaka tume huru ya uchaguzi?
Je kukiwa na tume huru, uku Raisi anacontrol Polisi,Tiss, Tamisemi na matokeo ya uraisi hayawezi pingwa popote je Kuna umuhimu wa kuwa na tume huru.
Chadema ni giant political party, kususia huo mchakato, nini hatima ya hiyo tume,, je vyama vya makaratasi na maflash kuwa wajumbe wa hiyo tume, kutawafanya watanzania wawe na Imani na iyo tume? CCM kipi kinawafanya mbadilishe tume Leo wakati kila siku mnasema tume ya Sasa ni huru .
Karibu