MMhm... Ni vema kwa wananchi wa eneo hilo kushiriki katika kutatua kero hiyo. Iwapo wataonyesha wazi kukerwa na tatizo hilo, hapana shaka vyombo husika vitatoa ushirikiano wa dhati.
Ni vema kutumia mikutano ya kata/tarafa kufikisha kero hiyo.
Fidel una hakika na hilo? Si ajabu wengi wa watu wa Makongo Juu, maji sio kero kubwa kwao..